Ni muhimu
Exactly ni kwa mwaka huu tu ila sio kua wamefuta mileleMaonyesho ndo mwaka hayapo
Sasa kinachotakiwa ni kuyafuta au kuyaboresha?Usha wahi kuhudhuria maonyesho ya Kilimo hata na nchi jirani kama Ugana au Kenya? Au Zambia ay Malawi au Zimbabwe?
Nenda ikirudi utaona maonyesho yetu ni uhuni mtupu.Hakuna maonyesho pale
Naona umeanza vitimbiKitu gani kipya cha kujifunza?
Mi naonaga ni sehemu ya kupiga posho tu na inawesekana mtoa mada ni mmoja wao.
Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
Mwaka huu hayapoTaahi.ra linalojidai linajua sana mambo ya kilimo kuwazidi wakulima wenyewe, nanenane yapo kila mwaka.
Hivi uko makini kweli wewe.Tunakuambia mwaka 2021 hayatakuwepo wewe unaongelea mambo ya 2020.Badilisha hilo jina maana ndio linakuletea kizaMbona mwaka jana yalikuwapo na yalifanyika kitaifa mkoa wa Simiyu au upo nje ya Tanzania mkuu!!
Kutokuwepo 2021 ndiyo kufutwa sherehe za nanenane forever kama alivyosema mleta mada? Tumia akili kidogo bossHivi uko makini kweli wewe.Tunakuambia mwaka 2021 hayatakuwepo wewe unaongelea mambo ya 2020.Badilisha hilo jina maana ndio linakuletea kiza
Yawekewe utaratibu rasmi kama saba saba,hii ni fursa unless wahusika hawana machoMkuu ukizungumzia kufutwa maana yake hayatafanyika tena daima.
Ukirejea hilo gazeti la mwananchi linasema kwa mwaka huu. Kwa maana mwaka mwingine yatafanyika.
Kilichofanyika ni kusitisha maadhimisho kwa mwaka huu na kuelekeza fedha zilizotengwa katika mambo ya ugani/uboreshaji wa kilimo. Jambo lililofanyika kwa sherehe za muungano.
Naungana na wewe na yawe kwa Kanda sio kila mkoaWaziri angetakiwa aboreshe sio kufuta ...
Hayo maonyesho Ni muhimu Sana