Hivi kwanini michepuko wako hivi

Hivi kwanini michepuko wako hivi

SweetyCandy

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2022
Posts
3,109
Reaction score
6,323
Unakuta mume si wako ila unakiherehere wewe ndio unashadadia vitu kama mume wako.

Mtu akipiga unapokea unamuliza wewe nani, kwani wewe nani.

Kila mahali unamganda mume wa mwenzako unajitoa kama mume wako hii ni KERO akifa mbona huji ila akiwa hai unahangaika. Hatunywi maji wewe kama wewe ngoja aumwe au afe umepotea huwa mnajiaminigi nini eti?

Hakuna saa ambalo hamboi mnaboa sana. Kila kitu sawa bwana hakuna lahasha.

Mnajiamini hadi mnachosha sana.

Hampumzishi wenye wenye mali simu masaa yote na vichupi chupi na vikhanga vyenu mnaphotoa photoa hivyo vimapaja, vyakuku na vikuku vyenu miguuni kama vikuku vyakienyeji mnaboa
 
Mbona kama una hasira sana dear?

Usije kufa kwa presha😂😂😂

Sijaona alipolaumiwa Mwanaume!

Ukiona mchepuko una nguvu jua mwanaume ndiyo tatizo
 
Kuna shida gani,umeibiwa mume?

Kama mumeo akirudi anakukuta ndani ya dera ulilovaa tangu anaondoka asubuhi linanuka moshi na unampokea kwa kauli chafu tegemea kupokea sana simu za michepuko yake na kuona picha za mapaja yao
 
Mwanamke ukishakua feminist sijui superwoman yani zile type za kina joyce kiria tegemea tu simu za michepuko kwa mumeo.

Kua submissive halafu muheshimu huyo mwanaume pamoja na wazazi wake uone kama hayo yatatokea.
 
Mwanamke ukishakua feminist sijui superwoman yani zile type za kina joyce kiria tegemea tu simu za michepuko kwa mumeo.

Kua submissive halafu muheshimu huyo mwanaume pamoja na wazazi wake uone kama hayo yatatokea.
ushauri mzuri sana😍😍
 
Back
Top Bottom