Hivi kwanini milipuko ya magonjwa hatari huathiri zaidi bara la Africa na Asia!

bomouwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2014
Posts
1,149
Reaction score
800
Nafikiria kuwa haya magonjwa kama ukimwi na ebola ni biological weapons kwa ajili ya kupunguza tabaka la waafrica na waasia ili chi tajiri duniani ziwe huru naziondokane na threat ya uwepo wa watu hawa? Maana najiuliza sana kwanini magonjwa wakati yanatokea na hali inapokua mbaya mashirika ya madawa yanakua stand by kuuza dawa?

Tafadhali mwenye kujua.
 
 

I agree ...!
 
 

umefikia sehemu nzuri kwa udadisi!! nami nakuunga mkono...tafadhali embu pitia hii doc hapa...
http://hayaryakanch.files.wordpress.com/2013/06/the-story-of-the-committee-of-the-300.pdf
GLOBAL 2000 – Depopulation Program | Topics of Study

Kwa kifupi japo sina uhakika ila lazima tujiulize kwanini haya yanatokea africa na asia? kwanini sio kwao?? umeshajiuliza kuhusu HIV-AIDS unajua ni mtu tu alitengeneza hawa virusi? alafu watu wanasema ni mungu!! kweli? haya wanafanya ni kufan8ikisha biashara zao hasa za madawa and yes kupunguza population to 1billion!! inauma sana ila ndio ukweli embu soma hao COMITEE OF 300 maana hawa ndio wapo behind all of these!!
 


asante sana ntatafuta muda niisome kwa undani.
 
Kuuza au kugawa. Wao inawalipa kwa mtindo mwingine kama kuiba madini, gas na mafuta. Mzungu nuksi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…