World Logistics Company
Member
- Jun 1, 2021
- 99
- 104
Maelezo yamenyooka.Hii mada yako haijakaa sawa. Hayo mambo yapo ila hatuwezi discuss kwa namna hii.
Mambo ya tozo/ Kodi yanajitegemea
Mambo ya ucheleweshwaji/ Uzembe yapo kivyake
Mambo ya wizi kivyake.
Chagua moja.
BTW mzigo ukiibiwa bandarini ww inakuhusu nini hata kama ni wa kwako. BTW ww huruhusiwi kuingia bandarini unless otherwise ww ni wakala wa forodha. ww kama mteja unadubiri uletewe mzigo mahali mlipokubaliana. kama mzigo umeibiwa au kupotea, Liability itakuwa kwa part ambayo ilikuwa inaposses mzigo at time.
Hizo part ni kama Owner/ Seller/ Carrier au transporter nk. Lazima ijukikane umepotea kwa nani na mzigo abebeshwe nani. Mizigo inapotea lakini kama upo formal unapata mzigo wako hata kwa kulipwa, wazee wa CIF watanielewa hapa.
Issue ya kukwama kuna mambo mengi sana au parts au watu wengi sana wanaweza sababisha. na sababu za msingi zipo.
Mizigo bandarini inapitia mikoni ya watu mbalimbali kutokana na aina ya mzigo na mamlaka zinazodhibiti hizo bidhaa.
Letsay umeagiza Umeagiza dawa za binadamu. lazima tuu zipitie TMDA kwa ajili ya uhakiki kama zimesajiliwa nchini, kibali cha kuagiza na kuuza/ kusambaza Nk. Lazima ulipe kodi na tozo mbalimbali, sijui mara TBS/ TFDA na mambo mengi kutokana na aina ya mzigo.
Kama ukifuata taratibu huwezi kutana na hii kadhia.
BTW tunavyoongele kuchelewa sijui unamaabisha, Ili ijulikane imechelewa au imewahi lazima kuwe na Time factor.
Let say mzigo ukifika meli imetia nanga inatakiwa uwe umetoka ndani ya siku 7. na ikitokea zaidi ya hapo ndo tuseme umechelewa. sasa kama huna time factor huwezi sema umewahi au aumechelewa
Asante mdau kwa mawazo mazuri.Nilidhani dealers kama wewe ndo mlitakiwa kuja na changamoto pamoja na ushauri kwetu tunaoagiza ili kutupa mwanga wa vitu tunavyotakiwa kufanya na tusivyotakiwa kufanya.
Ni mawazo tu.
Wekeni 4 wheel drive isikwamwHizi kesi zimekuwa nyingi sana siku hizi. Tumekuwa tukiona malalamiko kutoka kwa watu mbalimbali kupoteza mizigo yao bandarini. Inawezekanaje?
Imebidi tuje tuulize ili kusikia experience kutoka kwa wengine ambao washawahi kukutana na changamoto za mizigo yao bandarini.
Hivi kwanini baadhi ya mizigo na bidhaa hupotea au kukwama bandarini? Vipi huko Airport na Mipakani?
Je, kuna uzembe, upigaji au ni changamoto ya TOZO za hapa na pale?
Wapo watu hawasafiri kazi yao kutunza mtaji na kununua mizigo ya gharama hapo ikishindikana mteja mwenye mzigo akishindwa kulipia gharama kubwa wao ndio wanapewa mchongo wa kununua tena kuna kipindi cha nyuma kutoa kitenge hapo lazima uwe na hela ya ulinzi kwa baadhi ya wafanyakazi...ndio maana wengi walianza kupitishia Mombasa hakuna mambo ya wizi wala storage kubwa hata mzigo utunzwe miezi minne ni wako utaukuta sio daslm...
Kwanza naomba useme ni mizigo ipi ambayo huwa inapotea hapo bandarini? halafu utoaji wa mzigo si hua unategemeana na wakala anavyo lipia kwa wepesi na haraka?
Wekeni 4 wheel drive isikwamw
Wizi, na ukosekanaji wa taarifa za kutosha za mzigo, kama Namba ya Contena, Package ya mzigo, Jina/address n.k
Hii mada yako haijakaa sawa. Hayo mambo yapo ila hatuwezi discuss kwa namna hii.
Mambo ya tozo/ Kodi yanajitegemea
Mambo ya ucheleweshwaji/ Uzembe yapo kivyake
Mambo ya wizi kivyake.
Chagua moja.
BTW mzigo ukiibiwa bandarini ww inakuhusu nini hata kama ni wa kwako. BTW ww huruhusiwi kuingia bandarini unless otherwise ww ni wakala wa forodha. ww kama mteja unadubiri uletewe mzigo mahali mlipokubaliana. kama mzigo umeibiwa au kupotea, Liability itakuwa kwa part ambayo ilikuwa inaposses mzigo at time.
Hizo part ni kama Owner/ Seller/ Carrier au transporter nk. Lazima ijukikane umepotea kwa nani na mzigo abebeshwe nani. Mizigo inapotea lakini kama upo formal unapata mzigo wako hata kwa kulipwa, wazee wa CIF watanielewa hapa.
Issue ya kukwama kuna mambo mengi sana au parts au watu wengi sana wanaweza sababisha. na sababu za msingi zipo.
Mizigo bandarini inapitia mikoni ya watu mbalimbali kutokana na aina ya mzigo na mamlaka zinazodhibiti hizo bidhaa.
Letsay umeagiza Umeagiza dawa za binadamu. lazima tuu zipitie TMDA kwa ajili ya uhakiki kama zimesajiliwa nchini, kibali cha kuagiza na kuuza/ kusambaza Nk. Lazima ulipe kodi na tozo mbalimbali, sijui mara TBS/ TFDA na mambo mengi kutokana na aina ya mzigo.
Kama ukifuata taratibu huwezi kutana na hii kadhia.
BTW tunavyoongele kuchelewa sijui unamaabisha, Ili ijulikane imechelewa au imewahi lazima kuwe na Time factor.
Let say mzigo ukifika meli imetia nanga inatakiwa uwe umetoka ndani ya siku 7. na ikitokea zaidi ya hapo ndo tuseme umechelewa. sasa kama huna time factor huwezi sema umewahi au aumechelewa
Pls toeni wayforward wahitaji ni wengi msianzishe mjadalaHizi kesi zimekuwa nyingi sana siku hizi. Tumekuwa tukiona malalamiko kutoka kwa watu mbalimbali kupoteza mizigo yao bandarini. Inawezekanaje?
Imebidi tuje tuulize ili kusikia experience kutoka kwa wengine ambao washawahi kukutana na changamoto za mizigo yao bandarini.
Hivi kwanini baadhi ya mizigo na bidhaa hupotea au kukwama bandarini? Vipi huko Airport na Mipakani? Je, kuna uzembe, upigaji au ni changamoto ya TOZO za hapa na pale?
Madam Apai yupo hapa kupitia maoni yenu kwa niaba ya ofisi.
View attachment 1863487
Apaisaria Godvice Mambali - Idara ya Mauzo na Utawala (Sales Executive & Administration)
Pls toeni wayforward wahitaji ni wengi msianzishe mjadala