Hivi kwanini mwendokasi wasitengeneze mfumo uunganishwe na simu banking watu wawe wanascan tu kupata huduma? Hili la kadi ni gharama

Hivi kwanini mwendokasi wasitengeneze mfumo uunganishwe na simu banking watu wawe wanascan tu kupata huduma? Hili la kadi ni gharama

komasavaa

JF-Expert Member
Joined
Aug 17, 2024
Posts
1,718
Reaction score
2,930
Hivi ni kweli Mwendokasi wamekosa wataalamu kabisa wa kutengeneza mfumo wa malipo ya kuscan kwa kutumia smart phones. Hoja ya kwamba sio watu wote wana simu janja ni hoja mufilisi ukilinganisha na hoja ya kadi ambayo ilishaprove failure hapo awali.

Kwanini THINK TANK ya hii nchi haipendi kufikiria nje ya box?

Huu ni mradi ambao huko duniani wanatuona KITUKO maana umejaa ubabaishaji, ukosefu wa mipango ya mda mrefu na suluhu za kudumu.

Suala la kila uendapo unakuwa na msururu wa kadi hii sio maendeleo bali ni shida ukizingatia ukuaji wa tekinolojia na maendeleo.Kadi inaweza kubaki kwa WANAFUNZI na wasio na SIMU JANJA, ila kutokana na maendeleo na upatikanaji wa simu janja naimani watu wengi wengependa kutumia system ya KUSCAN.

Hii Sytem iungwe na mifumo ya kibenki ambapo MITANDAO ya simu ikiwa na CHANGAMOTO mtu anakuwa na option ya KUINGIA SIM BANKING na kupata huduma bila usumbufu wowote.

📌📌📌📌Tunapotaka kupunguza urasimu na upotevu wa mapato ni LAZIMA tuenforce CASHLESS PAYMENT SYSTEM ILIYO INTERGRATED NA SYSTEM ZOTE ZA HUDUMA NA SERIKALI.PIA ILIYO BORA NA INAYOPATIKANA 24/7 MWAKA MZIMA katika kila huduma zitolewazo hapa nchini.

📌📌📌Swala la upatikanaji wa mtandao hapo ndo WAHUSIKA WAWARUHUSU SASA STAR LINK kutuletea huduma ya mtandao ambayo itawezesha upatikanaji wa internent ya kasi na bora katika vipindi vyote vya mwaka.

System zote zinatakiwa ziwe na QR CODE kupunguza urasimu. Pia hili linaenda sambamba na kupunguza gharama za MABANDO.

Ikishindikana MRADI wapewe sekta binafsi hata wanne tofauti njia ya Tegeta iwe na kampuni yake,Njia ya Ubungo kampuni yake, Mbagala na Gongolamboto na zenyewe ziwe na makampuni yao pia. Waendeshe miradi serikali isimamie NAULI na KODI.

🚨🚨Atakaeshindwa kuendesha anyang'anywe mradi apewe anayeweza na vyote hivyo viwe na vipengele kwenye mikataba watayoingia na serikali .Kupitia huo ushindani huduma zitaimarika na ufanisi utaonekana.
 
Kuscan kwa simu hapana. Kwa sababu watumiaji ambao hawana smart phone ni wengi pia.

Mfano, Wanafunzi, Pia kuna network issues n.k

Lkn wazo lako ni zuri Kuwe n universal kadi for payments, na wanaweza kua na Virtual card kwa wanao tumia simu
Wawape option watu wote. Mtu achague anunue card au atumie simu yake. Kama TRC SGR siku hiz. Simu yako inatosha tu kubook ticket na kuingia kwenye treni
 
Kuscan kwa simu hapana. Kwa sababu watumiaji ambao hawana smart phone ni wengi pia.

Mfano, Wanafunzi, Pia kuna network issues n.k

Lkn wazo lako ni zuri Kuwe n universal kadi for payments, na wanaweza kua na Virtual card kwa wanao tumia simu
alafu mnakuja kulialia hapa hampewi chenchi😀😀😀

Unashindwa nini kununua simu ya elfu 70 acheni kudekadeka maendeleo yanagarama yake.

📌📌Msipobadilika mtaendelea KUBANANA kwenye hayo mabasi kama nyanya kwenye TENGA.

WANAFUNZI NDO WAWE NA KADI ILA KWA RAI WENGINE NI HERI KUTUMIA NJIA YA KUSCAN.

📌📌📌YAANI MADUKA TU MADOGOMADOGO WANA LIPA NAMBA SAIVI HATUBEBI CASH TUNASCAN TU MAMBO MSWANO MWENDOKASI WAO WANAFELI WAPI.
 
Kabla ya kuanzisha mada fanya utafiti.
Ukiwa na mwendokasi app hauhitaji kuwa na kadi, una kata tiketi yako na kwenda ku scan qr code kutoka kwenye smartphone yako
Kuna watu vitu vinawapita kiasi unajiuliza hivi hawa wanaishi dunia au Tanzania gani,Mwendokasi App naitumia mwaka wa pili huu nashangaa kuna mtu haijui.
 
Watakula wap
walipopeleka mboga.

Nchi hii bila rushwa inawezekana.Mentality yako naielewa unamaanisha watu wameugeuza huo mradi ni fursa na kitega uchumi.

📌📌Ndio maana nikapendekeza wapewe SEKTA BINAFSI TENA WANNE TOFAUTI ILI KULETA USHINDANI NA KUPUNGUZA MONOPOLY.

📌Kupanga ni kuchagua!!!!
 
Kabla ya kuanzisha mada fanya utafiti.
Ukiwa na mwendokasi app hauhitaji kuwa na kadi, una kata tiketi yako na kwenda ku scan qr code kutoka kwenye smartphone yako
Naona imeingilia mada kinyumenyume geuka uingie kwa njia ya kawaida🤝
 
Kabla ya kuanzisha mada fanya utafiti.
Ukiwa na mwendokasi app hauhitaji kuwa na kadi, una kata tiketi yako na kwenda ku scan qr code kutoka kwenye smartphone yako
MWENDOKASI APP imeungwa na mabenki??? yaani apps kibaooo bila sabu hiyo nayo kama kuwa Makadi tu.

Hiyo mwendokadi app waiupdate iwe na huduma zote za kibenki na simu kiasi kwamba kama mtandao wa simu unashida mtu anaingia anapata huduma kibenki and vise versa.

📌📌📌Napozungumzia system namaanisha mfumo wenye sifa zote yaani mfumo unaojitosheleza kwa kila kitu.Inatakiwa hata unapoanguka kwenye kituo cha mwendokasi wakikusaka kwenye mtandao wao wawe na uwezo wa kukupa huduma na kujua wewe ni nani🤝

Kama huelewei kasome mfumo wa SOCIAL SECURITY NAMBA wa Marekani.
 
Tumia Mwendokasi App,huna haja ya kununua card ninayo na inapiga kazi fresh.
Haina option ya mabenki kiasi kwamba mtandao wa makampuni ya simu ukishake mnaanza kuhangaika tena
 
Kuna watu vitu vinawapita kiasi unajiuliza hivi hawa wanaishi dunia au Tanzania gani,Mwendokasi App naitumia mwaka wa pili huu nashangaa kuna mtu haijui.
Mimi sijawahi kupanda mwendo kasi siwezi kujua hilo.

Jamaa katoa maoni ya option njia za malipo,sio kitu kibaya.
 
Kumbe tayari ipo jamaa kakurupuka sio?
system yao sio ya uhakika mtandao ukishake unarudi mfukoni🥴

📌📌Watu wengi hawajui kama hiyo app ipo.KITENGO CHA MASOKO KIMELALA NA KIMERIDHIKA.

REDIONI NA TV KUTWA KUCHA KUTANGAZA KAMARI NA MIPIRA. NDOMAANA SEKTA BINAFSI NI MUHIMU HAPA ILI MAMBO YA BUSSINES AS USUAL YASIWEPO🤝🤝

📌📌Pia haijaunganishwa na mabenki.
 
Mimi sijawahi kupanda mendo kasi siwezi kujua hilo.

Jamaa katoa maoni ya option njia za malipo,sio kitu kibaya.
📌📌Hiyo mijitu isiyotaka maoni na mawazo ndio hiyo mifanyakazi ya mwendokasi mijizi inakazi ya kushikilia chenchi za watu.
 
📌📌Hiyo mijitu isiyotaka maoni na mawazo ndio hiyo mifanyakazi ya mwendokasi mijizi inakazi ya kushikilia chenchi za watu.
Yani wanaopinga ukifatilia kwa makini
Sababu kuna maslahi yao binafsi kabisa.

Mtu anatoa ushauri ulio bora kabisa,mtu anaupinga kwa sababu za kijinga.
 
Back
Top Bottom