Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Hivi ni sababu zipi zinazofanya Serikali ishindwe kuwaendesha EWURA?
Kwasababu naona kila kitu wanajipangia wao tu.
1. Bei za mafuta wanajipangia wao tu watakavyo
2. Kuajiri wanajiajiria wenyewe tu wao wala hawataki utumishi iajiri badala ya wao
Kuna nini hapo.
Jamani Mh. Rais Samia litazame hili kwa undani.
Kwasababu naona kila kitu wanajipangia wao tu.
1. Bei za mafuta wanajipangia wao tu watakavyo
2. Kuajiri wanajiajiria wenyewe tu wao wala hawataki utumishi iajiri badala ya wao
Kuna nini hapo.
Jamani Mh. Rais Samia litazame hili kwa undani.