Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Sheria iliyounda EWURA ni tofauti na ile iliyounda taasisi kama TANESCO na taasisi nyingine za serikali. EWURA ni taasisi huru na iliwekwa hivyo makusudi na ndvyo ilivyo kwa taasisi zingine kama EWURA zilizoko nchi nyingine.Why cant they discuss and be challenged kabla ya kuja public?
kama hawaingiliwi mbona Serikali imewadindia?.
Hakika Mmojawapo ni huyo Ngamlagosi.Enzi zake Aliweza kufanya Kazi nzuri sana.Atamsaidia Mama Yetu vyema kwenye haya mambo.
Ni sawa, lakini ingelipaswa iiunganishe na tume ya ushindani.Sheria iliyounda EWURA ni tofauti na ile iliyounda taasisi kama TANESCO na taasisi nyingine za serikali. EWURA ni taasisi huru na iliwekwa hivyo makusudi na ndvyo ilivyo kwa taasisi zingine kama EWURA zilizoko nchi nyingine.
Hivi ni sababu zipi zinazofanya serikali ishindwe kuwaendesha EWURA?
Kwasababu naona kila kitu wanajipangia wao tu.
1. Bei za mafuta wanajipangia wao tu watakavyo
2. Kuajiri wanajiajiria wenyewe tu wao wala hawataki utumishi iajiri badala ya wao
Kuna nini hapo.
Jamani Mh. Rais Samia litazame hili kwa undani.
Uwongo.mafuta,sement ,sukari zimepanda bei huyu mwamba akiwa haiHivi kipindi cha jiwe mafuta yalisimama chini ya buku mbili ila kwa sasa naona yatafika 5000 lita ni jambo la mda tu maana wauza mafuta sio watu wazuri soko likipungua ni wagumu sana kupunguza.
Ni sawa, lakini ingelipaswa iiunganishe na tume ya ushindani.
Mimi simnadi na Wala simfaham,nilisoma tu thread yake humu ndani kipindi anasimamishwa.Ndio nikakumbuka alifanya Kazi Enzi za Serikali ya JK hadi ya Hayati JPM ndio akasimamishwaga.Mkuu kwani kusema hivyo namnadi mtu???Nakubali na yeye anaweza kuwa ni mmojawapo, lakini approach unayotumia kumnadi inaweza kusababisha kumkosa.
Hii EWURA wamrudishe yule mkurugenzi aliyesimamishwaga na PM.Bwana Felix Ngamlagosi naimani atatusaidia Sana.Maana Mpaka sasa Toka aondoke imepwaya Sana.
Acha uongo ww harafu mwogope Mungu baada y mwezi tu Mwamba kuondoka ndo vitu vikaanza panda mpaka mwamba anaondoka petrol 1880 km sikose sasa hivi ina 2500 na usitegemee kushuka mzee hapo itafika 5000 ni swala la mdaUwongo.mafuta,sement ,sukari zimepanda bei huyu mwamba akiwa hai
Hakuna taasisi ya serikali itakuwa fully autonomous, yaani ina absolute power ya kufanya chochote, Hiyo.ni taasisi ya serikali chini ya wizara ya maji,japo kuna aspect ya Nishati.kwaakili ya kawaida kwakuwa majukumu yake ni udhibiti wa maswala nyeti yanayogusa raia moja kwa moja kama gharama za maji au nishati (mafuta,gesi,umeme etc) kuna wakati katika hali ya kawaida walitakiwa waombe muongozo katika kutoa bei mpya tena itakayozidisha ugumu wa maisha kwani watakaolaumiwa ni serikali kwa ujumla.kwa hili la juzi walichemsha kulingana na hali ilivyokuwa huku "tozo" kubwa zikilalamikiwa zishushwe,huku luku-property taxes, nk. Sasa wewe unakuja na 'nyundo' nyingine tena kali ambayo hiyo tena ndio itapandisha gharama zote za maisha.ule ungekuwa ni uchonganishi mkubwa kati ya serikali na wananchi wake as it was a very wrong timing,hata kama hesabu zinasoma hivyo,kuna maslahi zaidi ya kuangalia...sheria inaelekeza wafanye maamuzi bila kushawishiwa au kushinikizwa na wizara au serikali.
..pia ewura ni mamlaka iliyoko chini ya wizara ya maji, haiko chini ya wizara ya nishati.
..ewura ni Energy and Water Utilities Regulatory Authority, bunge ndilo lilipitisha sheria wawe chini ya Wizara ya maji.
EWURA ni mateka inaendeshwa na mabepari wenye chenchi zaoHivi ni sababu zipi zinazofanya serikali ishindwe kuwaendesha EWURA?
Kwasababu naona kila kitu wanajipangia wao tu.
1. Bei za mafuta wanajipangia wao tu watakavyo
2. Kuajiri wanajiajiria wenyewe tu wao wala hawataki utumishi iajiri badala ya wao
Kuna nini hapo.
Jamani Mh. Rais Samia litazame hili kwa undani.
Yawezekana ndio au sio.Mimi simnadi na Wala simfaham,nilisoma tu thread yake humu ndani kipindi anasimamishwa.Ndio nikakumbuka alifanya Kazi Enzi za Serikali ya JK hadi ya Hayati JPM ndio akasimamishwaga.Mkuu kwani kusema hivyo namnadi mtu???
Ooh yes hawa ni vilaza kabisa, halafu most of wajumbe wao wa Bodi ni vilaza kabisa, nilishangaa sana kusikia mwanamke mmoja hivi eti nae ni mjumbe wa Bodi ya EWURA.Hua siwaelewagi..mi Naona kama wanadhibiti bei kushuka..
Hii kitu nimekuwa nakifikiria sana.EWURA ni mateka inaendeshwa na mabepari wenye chenchi zao
Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
Wewe vipi?? Tunamtaka huyo FELIX, ndiye mbeba maono!!Mkuu Taasisi sio mtu, taasisi ni mfumo jumuishi wenye mission na vision ya mbali.
Viongozi wenye ubunifu na mawazo /maono mazuri wapo.
Ili Ewura ilifanye vyema ikaribishe maoni ya wadua ili iyatumia kuboresha huduma kwa kuanzia.
Ewura ni sehemu ya Serikali,kama wanafanya mambo ambayo wengine serikalini hawajuhi,ni matokeo ya kuparanganyika kwa uongozi wa serikali ya huyu mama,Hivi ni sababu zipi zinazofanya serikali ishindwe kuwaendesha EWURA?
Kwasababu naona kila kitu wanajipangia wao tu.
1. Bei za mafuta wanajipangia wao tu watakavyo
2. Kuajiri wanajiajiria wenyewe tu wao wala hawataki utumishi iajiri badala ya wao
Kuna nini hapo.
Jamani Mh. Rais Samia litazame hili kwa undani.
Tunasema Bodi ya EWURA imejaa vilaza, how comes Bodi iliyojaa vilaza imlete Mkurugenzi Mkuu smart?? Ondoeni baadhi ya wajumbe ambao ni vilaza, kuna mwanamke mmoja hivi sasa hivi yuko huko kusini kwenye Bodi ya huyo mwanamke najua haisaidii EWURA, huyo ni kilaza amejaa husuda na kujishebedua tuu!!..Kuna utaratibu wa kumpata Mkurugenzi Mkuu wa Ewura, na zoezi hilo lazima liwe la ushindani.
..Bodi ya wakurugenzi ya Ewura huwa inawahoji wanaoomba nafasi ya Mkurugenzi Mkuu.
..Baada ya kufanya mahojiano majina matatu huwasilishwa kwa Waziri wa Maji ambaye ndiye mwenye mamlaka ya kuteua Mkurugenzi Mkuu wa Ewura.
Hajaagizwa na ngazi ya uteuzi?..nadhani ni waziri anatafuta kiki.