Wasalaam wakuu, hili suala nimeshaliona na kulifuatilia kwa muda mrefu sana. Nilichogundua ni kwamba hizi timu ndogo za ligi kuu bara huwa zinacheza kwa kutegeana ili zitoke droo na ikitokea timu moja imepata goli basi timu pinzani itapigana kutafuta goli la kusawazisha na wakifanikiwa kulipata wanapoozesha mchezo ilimradi lengo la kupata droo litimie.
Kwa walioangalia game ilioisha ya singida na kmc utaona kabisa timu zote zilikuwa zinapoozesha mchezo mixer kupoteza muda yaani wanakuwa wanaridhika na droo na hili lipo kwa timu nyingine ndogo za ligi kuu bara
Unadhani tatizo ni nini mpaka hizi timu ndogo zimekuwa ziki prefer kutoka droo kuliko kushinda?
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Kwa walioangalia game ilioisha ya singida na kmc utaona kabisa timu zote zilikuwa zinapoozesha mchezo mixer kupoteza muda yaani wanakuwa wanaridhika na droo na hili lipo kwa timu nyingine ndogo za ligi kuu bara
Unadhani tatizo ni nini mpaka hizi timu ndogo zimekuwa ziki prefer kutoka droo kuliko kushinda?
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app