Mwanga Lutila
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 4,208
- 14,143
Sizungumzii kwa wake zetu au wapenzi tunaowaamini ...
Nazungumzia hawa wa kuokota okota ..
Nazungumzia hawa wa kuokota okota ..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu umemwaga Kwa Malaya,na vishawishi vya dhambi ndio vilikufanya ukaingia kwenye hio ngonoSizungumzii kwa wake zetu au wapenzi tunaowaamini ...
Nazungumzia hawa wa kuokota okota ..
Sababu kuwa unakuwa unasema hapa kama nimetoka salamaa HIV ni mungu tu....kama mimi nimemuokota je anaokotwa na wangapi mitaaani hukoSizungumzii kwa wake zetu au wapenzi tunaowaamini ...
Nazungumzia hawa wa kuokota okota ..
Baada ya kula tunda bustanini walijua wametenda dhambi, nini kilibadilika? Baada ya tamaa kuisha wakaujua ukweliSizungumzii kwa wake zetu au wapenzi tunaowaamini ...
Nazungumzia hawa wa kuokota okota ..
Dhambi ya uzinzi ukiitenda huleta hatia na majuto nafsini.Sizungumzii kwa wake zetu au wapenzi tunaowaamini ...
Nazungumzia hawa wa kuokota okota ..
CHAPUTA wanajisikiaje wakisha fungisha(own goal)?Sizungumzii kwa wake zetu au wapenzi tunaowaamini ...
Nazungumzia hawa wa kuokota okota ..
bila hayo nani angetafuta pesaACHA ZINAA
ACHA UZINZI
ACHA UASHERATI