Hivi kwanini tunachangishana michango ya harusi?

Hivi kwanini tunachangishana michango ya harusi?

Prakatatumba abaabaabaa

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2022
Posts
1,842
Reaction score
6,087
Kwanza vitu vingine kwenye maisha sio lazima ni sifa tu, hakuna utofauti wowote kwenye ndoa either ufanye sherehe au usifanye, lakini kumekua na kero kubwa sana juu ya hii Michango ya harusi, ndoa sio bahati mbaya ni maandalizi ya muda mrefu, unakuta mtu huna mazoea naye ya karibu sana kwa sababu ulishakutana naye mara moja anakuletea kadi, Mwingine anakuona ona tu kanisani nayeye anataka mchango, haya mambo ya harusi ni kufata mkumbo usipokua na uwezo wa kufanya sherehe achana navyo, unasumbua watu unawatoa watu mbaali kisa sherehe ya siku moja?....

Ukitaka kufunga ndoa nenda kanisani na mtu wako kwa mchungaji ufungue ndoa na mashahidi zako, unakuta mtu wameshakaa wee, wamezaa na watoto wa kutosha alafu unasikia ety tupe michango tunataka tukabariki ndoa, najua wengi humu mna hizo pigo, acha mambo ya kusumbuana na kupigia watu simu, unakuta mtu umeungwa kwenye magroup zaidi ya 10, kadi zinazokufata mkononi zinafika 10, sasa inawezekanaje hii?.....
 

Attachments

  • c04b98ccc5c829c4397b1f375bbc55a2.mp4
    5.8 MB
Kwanza vitu vingine kwenye maisha sio lazima ni sifa tu, hakuna utofauti wowote kwenye ndoa either ufanye sherehe au usifanye, lakini kumekua na kero kubwa sana juu ya hii Michango ya harusi, ndoa sio bahati mbaya ni maandalizi ya muda mrefu, unakuta mtu huna mazoea naye ya karibu sana kwa sababu ulishakutana naye mara moja anakuletea kadi, Mwingine anakuona ona tu kanisani nayeye anataka mchango, haya mambo ya harusi ni kufata mkumbo usipokua na uwezo wa kufanya sherehe achana navyo, unasumbua watu unawatoa watu mbaali kisa sherehe ya siku moja?....

Ukitaka kufunga ndoa nenda kanisani na mtu wako kwa mchungaji ufungue ndoa na mashahidi zako, unakuta mtu wameshakaa wee, wamezaa na watoto wa kutosha alafu unasikia ety tupe michango tunataka tukabariki ndoa, najua wengi humu mna hizo pigo, acha mambo ya kusumbuana na kupigia watu simu, unakuta mtu umeungwa kwenye magroup zaidi ya 10, kadi zinazokufata mkononi zinafika 10, sasa inawezekanaje hii?.....
Kila sehemu kuna utaratibu wake, ukiona huridhishwi na michango achana nayo ila lilikufika la kwako usiombe msaada wa watu kukuchangia.


Kumbuka kidole kimoja hakivunji chawa, hata hao wanajeshi wanaoogopeka mtaani ni kwa sababu ya ushirikiano wao , bila ushirikiano hutoboi.
 
Wengine tulishaacha kuchangia harusi, tunachangia mambo mazito kama misiba na matibabu tu, hayo ya starehe tumeacha hata ukileta kadi ya harusi hutachangiwa, utapiga simu mpaka harusi yako inafika. Sie wenyewe tukitaka kuoa hatutasumbua watu kuomba mchango, tutanyooka kwa msajili wa ndoa kanisani au bomani kumaliza mchezo huo na kurudi nyumbani kuja kula ugali na makande, imeisha hiyo
 
Kwanza vitu vingine kwenye maisha sio lazima ni sifa tu, hakuna utofauti wowote kwenye ndoa either ufanye sherehe au usifanye, lakini kumekua na kero kubwa sana juu ya hii Michango ya harusi, ndoa sio bahati mbaya ni maandalizi ya muda mrefu, unakuta mtu huna mazoea naye ya karibu sana kwa sababu ulishakutana naye mara moja anakuletea kadi, Mwingine anakuona ona tu kanisani nayeye anataka mchango, haya mambo ya harusi ni kufata mkumbo usipokua na uwezo wa kufanya sherehe achana navyo, unasumbua watu unawatoa watu mbaali kisa sherehe ya siku moja?....

Ukitaka kufunga ndoa nenda kanisani na mtu wako kwa mchungaji ufungue ndoa na mashahidi zako, unakuta mtu wameshakaa wee, wamezaa na watoto wa kutosha alafu unasikia ety tupe michango tunataka tukabariki ndoa, najua wengi humu mna hizo pigo, acha mambo ya kusumbuana na kupigia watu simu, unakuta mtu umeungwa kwenye magroup zaidi ya 10, kadi zinazokufata mkononi zinafika 10, sasa inawezekanaje hii?.....
Sherehe ya ndoa ni utaratibu ambao tumeukuta.. Jamii inaishi kwa utaratibu huo hivyo ni mfumo huu wa kuchangiana upo tu siku zote na tunaishi nao.. kwaio usipaze sauti mbele za watu kupinga michango na kukataa kuchangia.. kama huna mchango we kausha tu bro hutalaumiwa na mtu... lakini ukianza kupiga kelele unajishusha hadhi.. Mwanaume alalamiki ovyo ovyo bro..
Pokea kadi.. usilipe siku ya wedding post whatsapp status, mpe hongera..
Kama ni mtu wako wakaribu baada ya harusi nunua hata kitenge cha ef8 kariakoo , then mpelekee kama zawadi bila kusema ulikuwepo au haukuwepo siku ya tukio.. then sepa zako.
 
Kwanza vitu vingine kwenye maisha sio lazima ni sifa tu, hakuna utofauti wowote kwenye ndoa either ufanye sherehe au usifanye, lakini kumekua na kero kubwa sana juu ya hii Michango ya harusi, ndoa sio bahati mbaya ni maandalizi ya muda mrefu, unakuta mtu huna mazoea naye ya karibu sana kwa sababu ulishakutana naye mara moja anakuletea kadi, Mwingine anakuona ona tu kanisani nayeye anataka mchango, haya mambo ya harusi ni kufata mkumbo usipokua na uwezo wa kufanya sherehe achana navyo, unasumbua watu unawatoa watu mbaali kisa sherehe ya siku moja?....

Ukitaka kufunga ndoa nenda kanisani na mtu wako kwa mchungaji ufungue ndoa na mashahidi zako, unakuta mtu wameshakaa wee, wamezaa na watoto wa kutosha alafu unasikia ety tupe michango tunataka tukabariki ndoa, najua wengi humu mna hizo pigo, acha mambo ya kusumbuana na kupigia watu simu, unakuta mtu umeungwa kwenye magroup zaidi ya 10, kadi zinazokufata mkononi zinafika 10, sasa inawezekanaje hii?.....
Maisha ni mafupi sana ukipata mda na nafasi ya kufurahia furahia hutaishi milele
 
Wengine tulishaacha kuchangia harusi, tunachangia mambo mazito kama misiba na matibabu tu, hayo ya starehe tumeacha hata ukileta kadi ya harusi hutachangiwa, utapiga simu mpaka harusi yako inafika. Sie wenyewe tukitaka kuoa hatutasumbua watu kuomba mchango, tutanyooka kwa msajili wa ndoa kanisani au bomani kumaliza mchezo huo na kurudi nyumbani kuja kula ugali na makande, imeisha hiyo
Maisha ni mafupi sana ukipata mda na nafasi ya kufurahia furahia hutaishi milele
 
Kila sehemu kuna utaratibu wake, ukiona huridhishwi na michango achana nayo ila lilikufika la kwako usiombe msaada wa watu kukuchangia.


Kumbuka kidole kimoja hakivunji chawa, hata hao wanajeshi wanaoogopeka mtaani ni kwa sababu ya ushirikiano wao , bila ushirikiano hutoboi.
Kama mtu hana moyo wa kuchangia atatafuta visababu vingi tu
Ndo maana angalia wanaochangia harusi ndo wale wale wanaochangia wa kwanza misiba

Mtu kama hana moyo wa kuchangia atatafuta sababu nyingi sana
Alafu maisha ni mafupi sana na sisi ni wapita njia ukipata nafasi ya kufurahia maisha furahia
 
Wengine tulishaacha kuchangia harusi, tunachangia mambo mazito kama misiba na matibabu tu, hayo ya starehe tumeacha hata ukileta kadi ya harusi hutachangiwa, utapiga simu mpaka harusi yako inafika. Sie wenyewe tukitaka kuoa hatutasumbua watu kuomba mchango, tutanyooka kwa msajili wa ndoa kanisani au bomani kumaliza mchezo huo na kurudi nyumbani kuja kula ugali na makande, imeisha hiyo
Ukiona unapata uzito wa kuchangia kwenye harusi inamaanisha hata kipato chako cha kusua sua.
 
Kama mtu hana moyo wa kuchangia atatafuta visababu vingi tu
Ndo maana angalia wanaochangia harusi ndo wale wale wanaochangia wa kwanza misiba

Mtu kama hana moyo wa kuchangia atatafuta sababu nyingi sana
Alafu maisha ni mafupi sana na sisi ni wapita njia ukipata nafasi ya kufurahia maisha furahia
Well said.
 
Kwanza vitu vingine kwenye maisha sio lazima ni sifa tu, hakuna utofauti wowote kwenye ndoa either ufanye sherehe au usifanye, lakini kumekua na kero kubwa sana juu ya hii Michango ya harusi, ndoa sio bahati mbaya ni maandalizi ya muda mrefu, unakuta mtu huna mazoea naye ya karibu sana kwa sababu ulishakutana naye mara moja anakuletea kadi, Mwingine anakuona ona tu kanisani nayeye anataka mchango, haya mambo ya harusi ni kufata mkumbo usipokua na uwezo wa kufanya sherehe achana navyo, unasumbua watu unawatoa watu mbaali kisa sherehe ya siku moja?....

Ukitaka kufunga ndoa nenda kanisani na mtu wako kwa mchungaji ufungue ndoa na mashahidi zako, unakuta mtu wameshakaa wee, wamezaa na watoto wa kutosha alafu unasikia ety tupe michango tunataka tukabariki ndoa, najua wengi humu mna hizo pigo, acha mambo ya kusumbuana na kupigia watu simu, unakuta mtu umeungwa kwenye magroup zaidi ya 10, kadi zinazokufata mkononi zinafika 10, sasa inawezekanaje hii?.....
Nishaacha kuchangia harusi
 
Back
Top Bottom