Hivi kwanini tunaishi?

ndayilagije

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2016
Posts
7,491
Reaction score
8,304
Itifaki izingatiwe,,mabibi na mabwana nawasalimu.
Nimekaa hapa nawaza,hivi kwa nini tunaishi?ni kwa faida ya nani?Tunafanya kazi ili tule,tuvae,tujenge,nk ndiyo kuishi kwenyewe.tunaoa,tunazaa,tunakufa,ndiyo mwisho hapo.Lakini hayo masumbifu yote ni ya nini? Nani anajua.
 
Swali lako sijalielewa vizuri, tunaishi kwa sababu tulijikuta tumezaliwa watu. Hakuna aliyechagua kuzaliwa. Kuishi ni lazima, na masumbufu ya maisha ni mhimu ili uweze kuishi na hili waweza kuchagua sasa, ukiamua kutotafuta utakufa njaa na mwisho ukaishia hapo, lkn ni vema unaowazaa ambao hawana uwezo wa kuchagua ukawahurumia ili waweze kuishi vizuri.
 
Sasa mbona umejibu?Kwa hiyo siyo faida wala nini ni lazima.
 
What is the purpose of life?
 
umevurugwa wewe, kwani we ndo kiumbe wa kwanza kuja duniani, dunia inazaidi ya miaka 30M. fanya maendeleo kwa kizazi chako la sivyo utacha majanga huku nyuma siku umerudi mavumbini. miafrika tunawazaga mbofu mbofu sana
 
umevurugwa wewe, kwani we ndo kiumbe wa kwanza kuja duniani, dunia inazaidi ya miaka 30M. fanya maendeleo kwa kizazi chako la sivyo utacha majanga huku nyuma siku umerudi mavumbini. miafrika tunawazaga mbofu mbofu sana
Kwani uongo mkuu?nimevurugwa tikitiki[emoji135][emoji135].
 
Tunaishi ili tumwabudu Mungu, na ukimtumikia kwa akili zako na nguvu zako bila mawaa utaishi muda mrefu maana anataka uyasimulie makuu alokutendea.

Ndio akili yangu imefika mwisho hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…