Hahahaha! Ukoko ni ukakasi mgumu unaogandamana kwenye vyombo vya kupikia kama vile sufuria, flampeni , n.k! Inaelekea kichachako kimejaa ukoko mtupu kijana? Hahaha,.. Au UDOM Ndo huwa mnakulasana ukoko?
Kingekuwa chuo kingine mimi ningesikitika sana, lakini kwa UDOM ni haki kabisa boom lichelewe kwani HAMNA USHIRIKIANO MZURI NA VYUO VIKUU VINGINE VYA HUMU NCHINI, na vilele nyie mlijipendekeza kwa J.K kumchangia milioni moja hivyo mliudhihirishia umma kuwa nyie mna pesa za kutosha, Kwa hiyo kwa maoni yangu mimi ningeomba UDOM wafutiwe boom ili wawe ni mfano bora wa kuigwa kwa wanazuoni wote wanajipendekeza kwa CCM!!!!!!!
Ni vzur kuulza lakn angalia ndugu saiv watu wanalalamika hawajapata mkopo,wewe unaleta habar ya mkopo kuchelewa!we c mwenze2 watafute wenzako ndo upost kitu kama icho,
huo sio mtazamo ni UNAFIKI, juzijuzi udsm wametuletea masuala ya chakula kupanda bei chuon kwao na zile thread za mabibo nayo ni hostel ulikuwa wapi kuutoa mtazamo wako? Au uliona hzo thread znamchango gan ktk elimu yetu hii inayozid kudidimia. Leo hii ya udom ndo unajifanya ku-raise hyo hoja yako hii ya kinafki kwa mgongo wa mtazamo. Kama huna chakuchangia stay cool si lazma useme.
Udom nacho ni chuo?.
we kenge kabda ya kudisko udom ulikua unapata mkopo.