Hii sio haki
Hayo ni maneno ambayo walikua wanaongea wafanyakazi huku wakiwa makundi Kwa makundi,
Hii sio haki na tunaonewa sana na hawatuthamini sasa nawauliza ndugu zetu mmepatwa na nini siku ya leo?
Maisha ndio haya haya mmeongezwa au mmejiongeza wenyewe bila kujua.
Nini kimewakuta kwenye siku yenu muhimu ya leo,
Watamchukulia Mbowe na Lisu ππYule waliyemuahidi kumchukulia fomu kawaacha Magomeni mataa
WatajijuuWatamchukulia Mbowe na Lisu ππ
"Amelaaniwa mtu yule amtegemeae mwanadamu....."Hii sio haki
Hayo ni maneno ambayo walikua wanaongea wafanyakazi huku wakiwa makundi Kwa makundi,
Hii sio haki na tunaonewa sana na hawatuthamini sasa nawauliza ndugu zetu mmepatwa na nini siku ya leo?
Maisha ndio haya haya mmeongezwa au mmejiongeza wenyewe bila kujua.
Nini kimewakuta kwenye siku yenu muhimu ya leo,
Li TUCTA lao nalo ni kibogoyo halina meno ya kuing'ata serikali kuhusu maslahi yao, wacha wanune mpaka akili ziwakae sawasawaWamenuna kwakuwa wanameno lakini wanashangaa hawawezi kuuma.
May Mosi oyeeee, Wafanyakazi oyeeeee, serikali ya Mama Samia oyeeeee.Hii sio haki
Hayo ni maneno ambayo walikuwa wanaongea wafanyakazi huku wakiwa makundi Kwa makundi,
Hii sio haki na tunaonewa sana na hawatuthamini sasa nawaulizandugu zetu mmepatwag na nini siku ya leo?
Maisha ndio haya haya mmeongezwa au mmejiongeza wenyewe bila kujua.
Nini kimewakuta kwenye siku yenu muhimu ya leo.
Viongozi wa Li Tucta si ni Maafisa vipenyo au?Li TUCTA lao nalo ni kibogoyo halina meno ya kuing'ata serikali kuhusu maslahi yao, wacha wanune mpaka akili ziwakae sawasawa
Mama Ndiyo Kapewa Ahadi Na Walimu WatiifuWatamchukulia Mbowe na Lisu ππ