Babake mwanaidi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 641
- 694
Japo kuna ka ukweli. Lakin hujachek wadada wa bongo.. ikitokea chance ataenda nae hata kama ni huyo mzungu ni mzeeNimefanya uchunguzi wangu binafsi nimegundua Wakenya (sio wote) wanawahusudu sana Wazungu tofauti kabisa na watanzania wenzangu. Nimeshuhudia Kenya mwanamke yupo tayari kwa namna yeyote aolewe na mzungu atajiona bora kuliko mkenya mwenzake hali kadhalika na kwa wanaume pia.
Leo ningependa kufahamu hii mentality ya mkenya kumuhusudu sana mzungu ilitoka wapi na kwanini.?
Tafadhali msinipopoe nimeuliza kwa nia njema tu!
Japo kuna ka ukweli. Lakin hujachek wadada wa bongo.. ikitokea chance ataenda nae hata kama ni huyo mzungu ni mzee
Sawa mzee, umeshamaliza kutoa povu. Sasa rudi kwenye madaHuu umbea wa Facebook na mapenzi peleka kwenye jukwaa la mapenzi la JF. Ifahamike Kenyan section ina hadhi yake, huku tunajadili vitu vinavyohitaji matumizi ya ubongo, kama vile udadavuaji wa uchumi na maswala mengine ya great thinkers.
Sawa mzee, umeshamaliza kutoa povu. Sasa rudi kwenye mada
Oky.. bila shaka povu lime isha sasa. Haya rudi kwenye mada husikaNenda huku utapata msaada wa hilo tatizo lako
Ni kweli kuwa papuchi zinapatikana kwa urahisi siku hizi ndiyo maana vijana hawaoi?
Mwanamke wa kweli hawezi kuitoa Papuchi yake kirahisi
Huu ndio utakua msimamo wangu pindi nitakapo achana na mzazi mwenzangu
Mpenzi wangu anasema kama sitomuoa mwezi wa kumi na mbili anajua cha kufanya
Nisaidie jamani nifanye nini au huyu mtu ana maana gani?
Hii ndiyo tofauti kati ya mke wangu na mchepuko wangu
Wanaoenda lodge na wake za watu mmekwisha kuweni makini, ni hatari hii
Oky.. bila shaka povu lime isha sasa. Haya rudi kwenye mada husika
Huu umbea wa Facebook na mapenzi peleka kwenye jukwaa la mapenzi la JF. Ifahamike Kenyan section ina hadhi yake, huku tunajadili vitu vinavyohitaji matumizi ya ubongo, kama vile udadavuaji wa uchumi na maswala mengine ya great thinkers.
Umeshindwa kujibu?Kule MMU hata ni rahisi kupata mume, nashauri uwahi huko....hehehehe
Mada za kipuzi na umbea pelekea watanzania wenzako MMU.Nimefanya uchunguzi wangu binafsi nimegundua Wakenya (sio wote) wanawahusudu sana Wazungu tofauti kabisa na watanzania wenzangu. Nimeshuhudia Kenya mwanamke yupo tayari kwa namna yeyote aolewe na mzungu atajiona bora kuliko mkenya mwenzake hali kadhalika na kwa wanaume pia.
Leo ningependa kufahamu hii mentality ya mkenya kumuhusudu sana mzungu ilitoka wapi na kwanini.?
Tafadhali msinipopoe nimeuliza kwa nia njema tu!
Mada za kipuzi na umbea pelekea watanzania wenzako MMU.
Bila shaka jana umebugia matonge ya omo ukizani ni ugali. Pole sana, bila shaka hili ni povu la mwisho. Kuna mdau kasema ipo kwenye DNA yenu, toa maoni yako.Kule MMU hata ni rahisi kupata mume, nashauri uwahi huko....hehehehe
Bila shaka jana umebugia matonge ya omo ukizani ni ugali. Pole sana, bila shaka hili ni povu la mwisho. Kuna mdau kasema ipo kwenye DNA yenu, toa maoni yako.
What do you know you hideous cartoon with trolling sentiments?your posts are always full of shit. What do you possess btwn your ears?Mkenya daima ni limbukeni sana wa maisha kuliko mtu yeyote hapa Afrika.
Ni jamii ya ajabu sana ukiishi nayo.
Unaweza kuishangaa asubuhi halafu ukaishangaa tena mchana halafu ukaishangaa tena jioni.
Ikifika wakati wa kulala ukaishangaa tena.
Nafikiri sababu kubwa ni utumwa wa fikra ulioota mizizi tangu enzi za ukoloni mpaka leo.
Hii ishu megusa mstari wako wa equator! Umeona ujibane kwenye konaHaya bana umeshinda kwenye mipasho, hehehe endeleeni lakini sidhani kama huku jukwaa la Kenya mtawapata waume, nitakaa pembeni nikijisomea full mitongozano.
Nimefanya uchunguzi wangu binafsi nimegundua Wakenya (sio wote) wanawahusudu sana Wazungu tofauti kabisa na watanzania wenzangu. Nimeshuhudia Kenya mwanamke yupo tayari kwa namna yeyote aolewe na mzungu atajiona bora kuliko mkenya mwenzake hali kadhalika na kwa wanaume pia.
Leo ningependa kufahamu hii mentality ya mkenya kumuhusudu sana mzungu ilitoka wapi na kwanini.?
Tafadhali msinipopoe nimeuliza kwa nia njema tu!