Sehemu zingine nafikiri mnafuata majija na dili za mjini.Sasa leo ijumaa ,nipeni ushauri nile wali Nazi + maharage Nazi kwa Mama Saidi
au niende kula biriani kwa mustapha
au Mandi pale Lumumba
Ama pilau la butiama
Mizuka km yote ya kula mchele Leo
Umenikumbusha mbali sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3526] pole mkuu.Hayo makitu mandi,biriani nikila naendesha kwa speed kali sana...sijui ni mimi peke yangu? [emoji51] [emoji51] ....najilipuaga siku zikingine lakini Flagly inakuwa mfukoni
Yes AMU,michemsho haijawahi kunizingua na naipiga haswa...Umekumbuka wapi?hahaha,kuna kitu kitakuwa kishawahi kukuendesha weweUmenikumbusha mbali sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3526] pole mkuu.
Michemsho inakufaa zaidi
Hapana.Yes AMU,michemsho haijawahi kunizingua na naipiga haswa...Umekumbuka wapi?hahaha,kuna kitu kitakuwa kishawahi kukuendesha wewe
Hahhahaaa..Such a memory,itakuwa hakuwahi kule njegere labda,au anakula nyingi sana.Baadae kaadapt baada ya kukomaa sana.Hapana.
Kuna mshkaji tulikuwa na mahusiano.
Alikuwa anapenda tukitoka kazini ananirudisha home kupika na yeye anaenda kuzurura anakuja baadae kula.
Alikuwa anapenda sana njegere za nazi na wali nyama roast.
Sasa kila akila usiku lazima tumbo limvuruge.
Kesho tena tumbo anataka msosi.
Hiyo ilikuwa daily routine.
Kama baada ya wiki mbili ile hali iliisha.
Alishawahi kula.Hahhahaaa..Such a memory,itakuwa hakuwahi kule njegere labda,au anakula nyingi sana.Baadae kaadapt baada ya kukomaa sana.
Hahaha..pishi lako litakuwa hatari sana.,,Wanaume huwa tunategeka sana na misosi ya wake/wapenzi wetuAlishawahi kula.
Lakini hazikupikwa kama vile.
Sasa anakula kiroho sana na mlo mmoja kila siku.
Daaa
Hata mdada anae pikia chungu na moto ule unaobabua Mapaja kwa mbaaali ni balaa jaribu uone!!Michuzi wa nyama wa kwenye chungu una ladha si ya dunia hii, ukijaribu sufuria utaweka pembeni
Hapo hapo ndo una malizwa kichawi!! ukiona chakula kitamu!! weka jani la lumbu kidogo tu!! ukiona msosi wote unakuwa km damu usile!! ukitaka kumchanganya weka gamba la ngekewa!! utawaka moto kwa sahani na hapo lazima mke akuogope sana.Hahaha..pishi lako litakuwa hatari sana.,,Wanaume huwa tunategeka sana na misosi ya wake/wapenzi wetu
Itakuwa wanaufanyiaga mazigambo so burr🤣Unajua hiki kitu me pia sijawahi kuelewa... kwann wali wa msibani unakuaga mtamu sana kuliko hata wali wa harusini?? LoL.
Kweli kabisa lile joto linafanya chakula ya usiku iwe motoo...Hata mdada anae pikia chungu na moto ule unaobabua Mapaja kwa mbaaali ni balaa jaribu uone!!
Unapikwa kwa maji zaidi na mafuta ya kuibia, hata wewe ukitaka wali mtamu, pika wali wa maji peke yake bila mafuta au weka mafuta kidogo sana baada ya wali kuiva.Unajua hiki kitu me pia sijawahi kuelewa... kwann wali wa msibani unakuaga mtamu sana kuliko hata wali wa harusini?? LoL.