....rahisi sana basi tu sisi wenyewe tunayafanya magumu. Sasa kama mtu akikuchoka ufanyeje? Nawe mchoke, songa na life yako.
Unajua kwa nini huko nchi zilizoendelea divorce nyingi? Mambo kama hayo hakunagana kulazimisha mapenzi, penzi likifa basi kila mtu kivyake.
Sio hamu ya kurudi nyumbani tu inakwisha bali hata zile simu za mahaba huwezi kumpigia tena, maana anageuka kuwa ni sehemu ya kero.
kweli kuna wanawake wanajua kujiachia,alikuwa mrembo akishaolewa hata kuoga ni kwa kulazimishwa.
na mwanamke ukishapigwa gap na uwanja wa nje imekula kwako
kuna mama mwenye nyumba yangu mume wake ni boss ofsi flani huko town yaani ukimcheki hzo kucha tu utazimia,anadai eti mumewe anarudi saa tisa usiku
sasa sijui anataka awai kwa lipi while mtu hadi saa nane usiku hajaoga
anadai eti vipodozi vina kensa
sasa mumewe anakula venye kensa basi
hahahaaaa!!! smile nafa kwa kucheka eti kensa. umesahau pia. wanandoa wakishazoea hata chakula hawapiki kinapikwa na dada. hadi mume anasahau ladha ya chakula cha mumewe. ikifika weekend basi hasemi ngoja leo nipike, wala, jumamosi yuko salon, jumapili kichen party. mume anashinda bar, kama ana nyumba ndogo ndiko kwa kushinda, akipikiwe mahanjumati ya kumwaga. halafu mnalalamika mmechokwa, wakati nyie ndo mloanza kuwachoka waume zenu kwa kutowapikia. tena sio chakula cha mezani tu. ukipata katoto hata chakula cha usiku pia unazembea. sasa mwenzio akale wapi kama si nyumba ndogo yenye kujituma hadi basi.
halafu unasema mume kakuchoka wakati uchovu umeuanzisha mwenyewe kwa kudharau uliyofunzwa, na kudhani "si wangu, nishampata tayari." tafakari... chukua hatua...
Kwasababu wengi ukipita mwaka baada ya kuolewa au wakishazaa wanabweteka. Wanadhani ndio mwisho wa kupendeza, kujiremba, kuongea taratibu, kudeka, kumbembeleza mume n.k
Maisha yanakua kama jeshini. . . amri na malalamiko ndio vinatawala. Ikishakua hivyo hata hamu ya kurudi nyumbani mume anakosa.
...........akikuchoka, na wewe mchoke.
kujisahau ni one thing, lakini kuna wamama ambao wapo bomba mno lakini waume zao moto huko nje. ni litabia tu la watu
Kwasababu wengi ukipita mwaka baada ya kuolewa au wakishazaa wanabweteka. Wanadhani ndio mwisho wa kupendeza, kujiremba, kuongea taratibu, kudeka, kumbembeleza mume n.k
Maisha yanakua kama jeshini. . . amri na malalamiko ndio vinatawala. Ikishakua hivyo hata hamu ya kurudi nyumbani mume anakosa.
kweli kuna wanawake wanajua kujiachia,alikuwa mrembo akishaolewa hata kuoga ni kwa kulazimishwa.
na mwanamke ukishapigwa gap na uwanja wa nje imekula kwako
kuna mama mwenye nyumba yangu mume wake ni boss ofsi flani huko town yaani ukimcheki hzo kucha tu utazimia,anadai eti mumewe anarudi saa tisa usiku
sasa sijui anataka awai kwa lipi while mtu hadi saa nane usiku hajaoga
anadai eti vipodozi vina kensa
sasa mumewe anakula venye kensa basi
mmmm, mimi sitaki nimchoke wangu, maana sipati picha nikimchoka kama ntaweza kuvumilia kukaa naye. For my own sake, Mungu anisaidie lisinitokeeUmeona eeh. Mimi nashangaa wanaosema wanaume wanawachoka wake zao as if wanawake nao hawana feelings. Ukweli ni kuwa tunachokana ila tofauti ni kuwa kwa sisi wanawake (tulo wengi) kutembea nje ya ndoa si solution ya mchoko huo. Ila hata sisi tunawachoka pia:juggle:
Umesema kweli kabisa Lizzy, wamama wanajisahau sana jamani, ndo sababu mimi huwa nasema nyumba ndogo haziwezi kwisha
Sababu ni hizi----------- wanawake wengi hawajui kuutumia ulimi vizuri Ukali, maneno * *ya mikato, matusi, ukaidi n.k. kwao ni mambo ya kawaida. Wengi wanatawaliwa na HASIRA na WIVU, akiona mumewe anacheka na mwanamke ni Kosa la jinai, mwanamke anafura wala hata hawezi kuongea, hali ya hewa inabadilika hata paka nyumbani wanatambua kuwa hali ni Mbaya.
2.* **Hufanya kazi kwa Moyo na Huamka alfajiri na mapemaKuna wanawake ambao ni wavivu kupindukia, inafika wakati hata kutandika kitanda anamtuma House Girl, wanaume ni rahisi sana kuvutwa na anayemhudumia kwa ukaribu, House girl akiandaa chakula, mara kitanda, mara maji ya kuoga, mara apige deki chumbani n.k. Haichelewi mwanaume kulipa fadhila kwa wema anaotendewa.
3.* *Ni msafi na anajua kuandaa mavazi yanayofaa kwa familia yakeKuna wanawake ambao ni wachafu usishangae kukuta sufuria kwenye makochi, chumba cha kulala ni stoo ya nepi za mikojo na nguo chafu, wengine kuoga ni anasa. Mwanamke ni MAJI, sharti mwanamke awe msafi muda wote. Wanaume wote wanapenda Usafi, marashi hata ya mchina yasikose, Mwanamke hakikisha Reception inakuwa Safi na kuwa katika hali ya kumfanya Mume ajisikie kujipumzisha kwa Raha mstarehe.
4.* *Jali na timiza Mahitaji ya NDOA kwa mume wakoSulemani anasema mwanamke mwema Taa yake haizimiki usiku, kuna wanawake wavivu kwa swala hili, pia kuna wanaopenda kulipa visasi kwa kuwanyima waume zao huduma, utakuta wiki nzima mama apanda kitandani huku amevaa KOMBATI utafikiri ni askari anaenda vitani. Wanaume ni sawa na Mbuzi ambao hawachelewi kukata kamba wakikosa majani walipofungiwa. Fanya makosa yote, lakini usijefanya ujinga wa kumkomoa mume kwa kumnyima huduma ya Ndoa, hilo ni kosa la Jinai. Hakikisha huduma hizo zinaboreshwa, nenda na wakati ili mradi isiwe kinyume na taratibu za Mungu.
5.**** Mwanamke anatakiwa kujua kupika chakula kitamu, ambacho familia itafurahia.Wanawake wengi hasa wa siku hizi hawajui kupika, ndio maana utakuta wanaume wengi wanaishia kula hotelini au kwa mama ntilie, kama umetoka bara basi usione aibu kujifunza kwa watu wa pwani namna ya kuunga NAZI kwenye chakula. Akina mama ni wajibu wao kujifunza Mapishi, Mchicha peke yake unaweza kuwa na mapishi zaidi ya 10, wanaume wanapenda chakula chenye ladha Test, mfanye mume akumbuke chakula cha nyumbani.
6.**** Mwamini Mume wako,*wivu na hisia mbaya ni adui wa ndoa yako. Usitoe siri za ndoa yenu kwa mashoga au ndugu zako. Muda wote muombe Mungu akupatie hekima ya kuongea pindi tatizo linapotokea, Muombee mume wako ili Mungu amsaidie pia awe na Hekima ya kutunza Ndoa kwa Uadilifu na Upendo. *
Sababu ni hizi----------- wanawake wengi hawajui kuutumia ulimi vizuri Ukali, maneno * *ya mikato, matusi, ukaidi n.k. kwao ni mambo ya kawaida. Wengi wanatawaliwa na HASIRA na WIVU, akiona mumewe anacheka na mwanamke ni Kosa la jinai, mwanamke anafura wala hata hawezi kuongea, hali ya hewa inabadilika hata paka nyumbani wanatambua kuwa hali ni Mbaya.
2.* **Hufanya kazi kwa Moyo na Huamka alfajiri na mapemaKuna wanawake ambao ni wavivu kupindukia, inafika wakati hata kutandika kitanda anamtuma House Girl, wanaume ni rahisi sana kuvutwa na anayemhudumia kwa ukaribu, House girl akiandaa chakula, mara kitanda, mara maji ya kuoga, mara apige deki chumbani n.k. Haichelewi mwanaume kulipa fadhila kwa wema anaotendewa.
3.* *Ni msafi na anajua kuandaa mavazi yanayofaa kwa familia yakeKuna wanawake ambao ni wachafu usishangae kukuta sufuria kwenye makochi, chumba cha kulala ni stoo ya nepi za mikojo na nguo chafu, wengine kuoga ni anasa. Mwanamke ni MAJI, sharti mwanamke awe msafi muda wote. Wanaume wote wanapenda Usafi, marashi hata ya mchina yasikose, Mwanamke hakikisha Reception inakuwa Safi na kuwa katika hali ya kumfanya Mume ajisikie kujipumzisha kwa Raha mstarehe.
4.* *Jali na timiza Mahitaji ya NDOA kwa mume wakoSulemani anasema mwanamke mwema Taa yake haizimiki usiku, kuna wanawake wavivu kwa swala hili, pia kuna wanaopenda kulipa visasi kwa kuwanyima waume zao huduma, utakuta wiki nzima mama apanda kitandani huku amevaa KOMBATI utafikiri ni askari anaenda vitani. Wanaume ni sawa na Mbuzi ambao hawachelewi kukata kamba wakikosa majani walipofungiwa. Fanya makosa yote, lakini usijefanya ujinga wa kumkomoa mume kwa kumnyima huduma ya Ndoa, hilo ni kosa la Jinai. Hakikisha huduma hizo zinaboreshwa, nenda na wakati ili mradi isiwe kinyume na taratibu za Mungu.
5.**** Mwanamke anatakiwa kujua kupika chakula kitamu, ambacho familia itafurahia.Wanawake wengi hasa wa siku hizi hawajui kupika, ndio maana utakuta wanaume wengi wanaishia kula hotelini au kwa mama ntilie, kama umetoka bara basi usione aibu kujifunza kwa watu wa pwani namna ya kuunga NAZI kwenye chakula. Akina mama ni wajibu wao kujifunza Mapishi, Mchicha peke yake unaweza kuwa na mapishi zaidi ya 10, wanaume wanapenda chakula chenye ladha Test, mfanye mume akumbuke chakula cha nyumbani.
6.**** Mwamini Mume wako,*wivu na hisia mbaya ni adui wa ndoa yako. Usitoe siri za ndoa yenu kwa mashoga au ndugu zako. Muda wote muombe Mungu akupatie hekima ya kuongea pindi tatizo linapotokea, Muombee mume wako ili Mungu amsaidie pia awe na Hekima ya kutunza Ndoa kwa Uadilifu na Upendo. *
kweli kuna wanawake wanajua kujiachia,alikuwa mrembo akishaolewa hata kuoga ni kwa kulazimishwa.
na mwanamke ukishapigwa gap na uwanja wa nje imekula kwako
kuna mama mwenye nyumba yangu mume wake ni boss ofsi flani huko town yaani ukimcheki hzo kucha tu utazimia,anadai eti mumewe anarudi saa tisa usiku
sasa sijui anataka awai kwa lipi while mtu hadi saa nane usiku hajaoga
anadai eti vipodozi vina kensa
sasa mumewe anakula venye kensa basi
im really curious, kwanini wanaume huwachoka wake zao na kutafuta kazi za nje? kama wanawake tunaweza kuwa waaminifu kwanini nyie mshindwe?
mtu anakuzalisha alafu ukisha haribika mwili, anatafute waschan wadogo, inauma sana. au wanadhani wao hawa haribiki? hata wanaume hupata kitambi na kua na mwili mbaya but wanawake huvumilia na kuendelea kumpenda.
kuna solution ya hili, kumfanya mwenzako asikuchoke?
im really curious, kwanini wanaume huwachoka wake zao na kutafuta kazi za nje? kama wanawake tunaweza kuwa waaminifu kwanini nyie mshindwe?
mtu anakuzalisha alafu ukisha haribika mwili, anatafute waschan wadogo, inauma sana. au wanadhani wao hawa haribiki? hata wanaume hupata kitambi na kua na mwili mbaya but wanawake huvumilia na kuendelea kumpenda.
kuna solution ya hili, kumfanya mwenzako asikuchoke?