Kuzaa sio lazima uchoke; inategemea na nature ya mwili wako; kama baba yako ali-boost ndo aweze kushiriki tendo na mama yako, umezaliwa mjini ukakuzwa kwa maziwa ya makopo, mayai toka kwa makuku tahira, maunga sembe yasiyokuwa na kirutubisho chochote, mijasho ya mama yako iliyokuwa imejaa mikorogo n.k