Jamani mimi yalishanikuta najiuliza nikwanini sisi wanaume tunapocheat hakuan neno lakini mpenzi wako akicheat naukajua ukimbilia uamzi wakumwacha??na kwanini roho iume wakati tunaweza kuwaacha nakutafuta mwingine??
Naunapomwona namwingine baada yakumwacha roho uenda mbio nawakati ulisha mwacha??Nini maana yake?? :confused2:
NATURe
maana yake bado unampenda.
Jamani mimi yalishanikuta najiuliza nikwanini sisi wanaume tunapocheat hakuan neno lakini mpenzi wako akicheat naukajua ukimbilia uamzi wakumwacha??na kwanini roho iume wakati tunaweza kuwaacha nakutafuta mwingine??
Naunapomwona namwingine baada yakumwacha roho uenda mbio nawakati ulisha mwacha??Nini maana yake?? :confused2:
Inawezekana bado unampenda, ila kwa tabia za mwanamume, mwanamke uliyemwacha anatakiwa kupata shida sana. Yaani ukikutana naye awe labda ni omba omba au yaya fulani kwa waarabu au wahindi. Pia ungeambiwa kuwa baada ya kumwacha alipata shida karibia na kufa au kufa, wanaume wengi husikia raha.
Ndivyo wanaume tulivyoumbwa. Msinilaume mimi bure.
ahhhh raha kweli kweli
sa knawauma nini?
ahh minaona raha kweli pale mmeachana afu jamaa alikunyea sana ..wewe bila mimi ..utakufa njaa...utakufa...nan atakutaka tena...mtu mwenyewe mbayaaaaaaaaaa umefanana na bib yangu mzaa bib...afu mara bngo imekujia mamaa una mchuma wa ukweli then na mume tayar tena muhand sam ......ndo mnakutana nae mtaani akiwa na kitoto sjui cha form twoo b ndo mkewake ...maisha yamempiga kofi ..dah atataman azimie afu kwa kuwa wewe ni mzungu wa ukweli unamwambia panda nkupelek afu unamtambulisha MR uyu alikuwa bf wangu wa zaman ndo yuuule niliyekwambia..MR ANATOA ELA YA TAX ITAKAYOWASAIDIA NXT ....dah apo atataman ajifukie
KWANINI WANAUME WANATUOMBEA MABAYA AFTA KUACHANA NAO?
WACHACHE SANA WANAWEZA WAKAKUSAIDIA ATA AFTA KUACHANA BT WEnG WAO MMH ANATAMAN ufeli kwenye kila kitu sjui ili iweje......
Jamani mimi yalishanikuta najiuliza nikwanini sisi wanaume tunapocheat hakuan neno lakini mpenzi wako akicheat naukajua ukimbilia uamzi wakumwacha??na kwanini roho iume wakati tunaweza kuwaacha nakutafuta mwingine??
Naunapomwona namwingine baada yakumwacha roho uenda mbio nawakati ulisha mwacha??Nini maana yake?? :confused2:
Jamani mimi yalishanikuta najiuliza nikwanini sisi wanaume tunapocheat hakuan neno lakini mpenzi wako akicheat naukajua ukimbilia uamzi wakumwacha??na kwanini roho iume wakati tunaweza kuwaacha nakutafuta mwingine??
Naunapomwona namwingine baada yakumwacha roho uenda mbio nawakati ulisha mwacha??Nini maana yake?? :confused2:
yan maty acha tu
niliona hilo wakati tupo 3rd yr pale udsm ahh jamaa akambwaga shoga yangu kwa mbwembwe nakwambia dahh yaani bmkubwa alilia saana cz alikuwa mtiifu sana kwa jamaa si wa kujirusha si wa kwenda disko akitoka sana kaenda makuburi kansani...bt jamaa mara nipo hill park mara daruso mara udasa mpk saa 8 za usiku kumbe yupo blok a mabibo hstl ana...na mtu mwngine....mwsho wa siku akamtamkia shost ahh we ka vp seeeepa tu tena sepa mazima sikutaki ata kukuona ..nanajua uwez pata men mwingine.... na utafeli tu...na lazima utakwama cz we mshamba tu...bibie akasema tawile...ahh ile majibu kutoka mwaya jamaaa akapata sapu na akashndwa kuisafisha ahh sa ikawaje...ajagraduate mpk nw..bibie akapata job afta chuo then akapata mdume mwngne tena mdume wa ukweli si kinyangaruka km kile..anajua kupenda na kila kitu kimo...saasa yule jamaa anambwela mbwela tu anaishia tu kutoa maneno mbovu lakin bibie hana hiyana anamtumiaga vivocha vocha...bt mapenz noooo!!!!!!!!!!!!