Hivi kwanini wanaume tunapogundua huwa moyo unataka kuchomoka?

Mijanaume mingine si wanaume... how can you ulter maneno kama hayo??? ...........Angenitamkuia mimi ningehakikisha nayakamata na kubembea nayo hadi yakatike.

Mjukuu kuna haja ya kuvaa mawani ndo nisome hapo au nisome hivyohivyo?
 
Rose 1980!Labda tupo tofauti mimi sipandi hicho kiprado chako hata kama mvua inanyesha!!kwanza ukisimama mimi ndokwanza nakupandisha nakukushusha naendelea na ubusy wangu!eti nisimame uninange kwani najua fika wewe haujasimama kwa heri!!!

Hata ucpopanda lakini naamini roho itakuuma sana tena sana kwani hukutegemea kunikuta katika hali kama hiyo uliyoyafikiria hayajawa
 
Rose 1980!Labda tupo tofauti mimi sipandi hicho kiprado chako hata kama mvua inanyesha!!kwanza ukisimama mimi ndokwanza nakupandisha nakukushusha naendelea na ubusy wangu!eti nisimame uninange kwani najua fika wewe haujasimama kwa heri!!!

ahh kakakiiza apana
stataka kukunanga its just alift
sisi hatuna rohombaya kiivo compare to men
ntakupa lift tu na ntakuonea huruma asi unajue tena....tulikula gud taim pamoja siku izoo....
ahh mimi napoteza tu afta kuachana ...skumbuki mabaya inakuwa normal tu km lift ,sjui mchango natoa lakin nakupa flat tu inakuwa si mpz wala si rafik ako cz najua nkijifanya rafikako unaweza ukanirubun turudiane


km wewe uko ivoo acha pia siyo broo?bt lift ungepanda tu upende usipende.....hahahaahh!!!!!!!!!
 
Hapa binti akipata rungu la kisawasawa na hilo lungu likawa linamtendea haki binti ukimuacha wewe basi yeye ndio ataumia akianza kufikiria jinsi ulivyokuwa unamchapa na rungu kisawasawa mbona lazima ageuke arudi kulifuata, litumie rungu lako ipasavyo twanga kote kote
 
Hata ucpopanda lakini naamini roho itakuuma sana tena sana kwani hukutegemea kunikuta katika hali kama hiyo uliyoyafikiria hayajawa
mpempe uyo bt nimemwambia kakakiiza atapanda tu..
 
Mjukuu kuna haja ya kuvaa mawani ndo nisome hapo au nisome hivyohivyo?
Soma hivyo hivyo Babu... kweli watu wengine wanaudhi sana kwa nini usiniache kistaarabu kama ulivyonifuata? Maneno ya kihuni utafikiri kanywa maji ya msalan.i!! Eti utafeli mara hutapata mwanaume mwingine utadhani yake inajiendesha yenyewe!!!
 
Mfumo dume, wanaume wanapenda kul;a vya wenzao, vyao hawataki. ipo hata kwa madada zao usiwaguse wakati wao kila siku kiguu na njia kwa madada wa wenzao. nonsense! wakati wanasema watu hula na wenzao.
 
Hata ucpopanda lakini naamini roho itakuuma sana tena sana kwani hukutegemea kunikuta katika hali kama hiyo uliyoyafikiria hayajawa

Hizi tambo zote ni kuwa bado haujapata rungu size yako ukilipata na likatumika kwako ipasavyo likagonga sehemu zote mpaka likachakachua kale kaharage utakuwa unapiga simu na unakuja mwenyewe na gari yako
 
Mfumo dume, wanaume wanapenda kul;a vya wenzao, vyao hawataki. ipo hata kwa madada zao usiwaguse wakati wao kila siku kiguu na njia kwa madada wa wenzao. nonsense! wakati wanasema watu hula na wenzao.

Nature inaruhusu! Hakuna awezaye kubishana na kitu NATURE! Nature na iheshimiwe na watu wote!
 
Mijanaume mingine si wanaume... how can you ulter maneno kama hayo??? ...........Angenitamkuia mimi ningehakikisha nayakamata na kubembea nayo hadi yakatike.

MJ1 nimecheka mpaka machozi.lol, jamani kuna wanaume hawana adabu yaani hawajafunzwa kabisa kabisa, mie nikikumbukaga yangu wallaah cmuoneagi huruma hata kidunchu...mkavu ananiambia "naona mie na wewe ni mwisho wetu kila mtu ashike lake tu," mackini mie bila hata kujua sababu, sasa hivi eti oohh ooohh jamani jamani, wewe ulikuwa ndio chaguo langu, cjui kitu gani na kitu gani....mschweee!
 
Nature will remain as it is and no one can go against it
 

Unajua kikojolewa na kikojoa ni tofauti! Kama hivyo tungekuwa tunaishi ****** basi
 
Kumbe ndivyo mlivyo na mshindwe na mlegeee huko kwenye............ nimeaharibu cku yangu asubuhi hii na unasema tuckulaumu we unaona ni vizuri kabisa ulivyosema huoni hata aibu

Maty usiharibu siku yako, yeye amekuwa mwakilishi tu wa wengine wasiosema, lakini huo ndio ukweli.
 

mie alikuwa anawaambia frnds zake kuwa ameamua 2 kuniacha coz ameona sio hadhi yake, maneno ya kashfa na kejeli za kutosha, alivyopata habari kuwa nyamayao anaolewa, alifanya juu chini kumjua muoaji, cku ya cku nakutana nalo nipo na mr mtarajiwa, linabaki linashangaa! na kutuma watu eti alifanya makosa so tuyasuluhishe ili tuweze kuanza maisha mapya....yaani nikilikumbuka nackia kichefu chefu kabisa...
 
Hizi tambo zote ni kuwa bado haujapata rungu size yako ukilipata na likatumika kwako ipasavyo likagonga sehemu zote mpaka likachakachua kale kaharage utakuwa unapiga simu na unakuja mwenyewe na gari yako

Aaaa wapi hivi unavyofikiri c inakuwa imeshakatika miaka kadhaa hapo bado tu cjapata rungu lingine? mbona ya kuchakachua yako mengi tu ninchofanya ni kuwaza niliite lipi leo kuliko kurudi kwako na tayari umeshafulia
 
Hapo sasa halafu hawa wanaoondokaga kwa ving'ora na matarumbeta ya mbwembwe ndio hurudigi kama vinyau vilivyonyeshewa na mvua.
 

wanawake nyinyi huwa mnanishangaza sana, ukiwa na mshikaji unamwita majina yote yaliyo matamu ulimwenguni.... oooh handsome wangu, honey, sweet n.k. lakini akikubwaga tu unamwita kinyangaruka!sijui tuwaeleweje tu.
 

Ukilikumbukaaaaa??????????????? wakati lilishakumiminia na unatembea na maji yake mpaka leo ndo yameongeza protini mwilini mwako na kukufanya uliye naye akupende
 
Nyamayao kusema ukweli mapenzi si ushindani kama umeona sikufai, siko class moja na wewe kwa nini usiseme tu ukweli niambie itaniuma but baadae nitakuheshimu kwa kuniambia ukweli. Sasa makejeli na kashfa ni za nini? Mie huwa nina rule moja... Akikuacha kwa kashfa na kejeli kaa kimya nguvu zielekeze kwenye maendeleo kama hukuwa na kazi tafuta kazi, kama ulikuwa unajenga zama ukiibuka nyumba imekwisha yaani tafuta kitu cha kukucompensate (But not new relationship- maana unahitaji muda wa kuyameza hayo makashfa na kuyapuuzia). Kama ulikuwa hujui kupendeza, kula vizuri, enjoy life do all that uone.

Wanaume wengine hawajafundwa kama ulivyosema nyamayao.
 
wanawake nyinyi huwa mnanishangaza sana, ukiwa na mshikaji unamwita majina yote yaliyo matamu ulimwenguni.... oooh handsome wangu, honey, sweet n.k. lakini akikubwaga tu unamwita kinyangaruka!sijui tuwaeleweje tu.
......Best ni kama baadhi yenu wafanyavyo akikumwaga---- kashfa zote utatupiwa wewe- Ngoma droo au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…