Mijanaume mingine si wanaume... how can you ulter maneno kama hayo??? ...........Angenitamkuia mimi ningehakikisha nayakamata na kubembea nayo hadi yakatike.
Rose 1980!Labda tupo tofauti mimi sipandi hicho kiprado chako hata kama mvua inanyesha!!kwanza ukisimama mimi ndokwanza nakupandisha nakukushusha naendelea na ubusy wangu!eti nisimame uninange kwani najua fika wewe haujasimama kwa heri!!!
Rose 1980!Labda tupo tofauti mimi sipandi hicho kiprado chako hata kama mvua inanyesha!!kwanza ukisimama mimi ndokwanza nakupandisha nakukushusha naendelea na ubusy wangu!eti nisimame uninange kwani najua fika wewe haujasimama kwa heri!!!
mpempe uyo bt nimemwambia kakakiiza atapanda tu..Hata ucpopanda lakini naamini roho itakuuma sana tena sana kwani hukutegemea kunikuta katika hali kama hiyo uliyoyafikiria hayajawa
Soma hivyo hivyo Babu... kweli watu wengine wanaudhi sana kwa nini usiniache kistaarabu kama ulivyonifuata? Maneno ya kihuni utafikiri kanywa maji ya msalan.i!! Eti utafeli mara hutapata mwanaume mwingine utadhani yake inajiendesha yenyewe!!!Mjukuu kuna haja ya kuvaa mawani ndo nisome hapo au nisome hivyohivyo?
Hata ucpopanda lakini naamini roho itakuuma sana tena sana kwani hukutegemea kunikuta katika hali kama hiyo uliyoyafikiria hayajawa
Mfumo dume, wanaume wanapenda kul;a vya wenzao, vyao hawataki. ipo hata kwa madada zao usiwaguse wakati wao kila siku kiguu na njia kwa madada wa wenzao. nonsense! wakati wanasema watu hula na wenzao.
Mijanaume mingine si wanaume... how can you ulter maneno kama hayo??? ...........Angenitamkuia mimi ningehakikisha nayakamata na kubembea nayo hadi yakatike.
Jamani mimi yalishanikuta najiuliza nikwanini sisi wanaume tunapocheat hakuan neno lakini mpenzi wako akicheat naukajua ukimbilia uamzi wakumwacha??na kwanini roho iume wakati tunaweza kuwaacha nakutafuta mwingine??
Naunapomwona namwingine baada yakumwacha roho uenda mbio nawakati ulisha mwacha??Nini maana yake?? :confused2:
Kumbe ndivyo mlivyo na mshindwe na mlegeee huko kwenye............ nimeaharibu cku yangu asubuhi hii na unasema tuckulaumu we unaona ni vizuri kabisa ulivyosema huoni hata aibu
ahhhh raha kweli kweli
sa knawauma nini?
ahh minaona raha kweli pale mmeachana afu jamaa alikunyea sana ..wewe bila mimi ..utakufa njaa...utakufa...nan atakutaka tena...mtu mwenyewe mbayaaaaaaaaaa umefanana na bib yangu mzaa bib...afu mara bngo imekujia mamaa una mchuma wa ukweli then na mume tayar tena muhand sam ......ndo mnakutana nae mtaani akiwa na kitoto sjui cha form twoo b ndo mkewake ...maisha yamempiga kofi ..dah atataman azimie afu kwa kuwa wewe ni mzungu wa ukweli unamwambia panda nkupelek afu unamtambulisha MR uyu alikuwa bf wangu wa zaman ndo yuuule niliyekwambia..MR ANATOA ELA YA TAX ITAKAYOWASAIDIA NXT ....dah apo atataman ajifukie
KWANINI WANAUME WANATUOMBEA MABAYA AFTA KUACHANA NAO?
WACHACHE SANA WANAWEZA WAKAKUSAIDIA ATA AFTA KUACHANA BT WEnG WAO MMH ANATAMAN ufeli kwenye kila kitu sjui ili iweje......
Hizi tambo zote ni kuwa bado haujapata rungu size yako ukilipata na likatumika kwako ipasavyo likagonga sehemu zote mpaka likachakachua kale kaharage utakuwa unapiga simu na unakuja mwenyewe na gari yako
Hapo sasa halafu hawa wanaoondokaga kwa ving'ora na matarumbeta ya mbwembwe ndio hurudigi kama vinyau vilivyonyeshewa na mvua.MJ1 nimecheka mpaka machozi.lol, jamani kuna wanaume hawana adabu yaani hawajafunzwa kabisa kabisa, mie nikikumbukaga yangu wallaah cmuoneagi huruma hata kidunchu...mkavu ananiambia "naona mie na wewe ni mwisho wetu kila mtu ashike lake tu," mackini mie bila hata kujua sababu, sasa hivi eti oohh ooohh jamani jamani, wewe ulikuwa ndio chaguo langu, cjui kitu gani na kitu gani....mschweee!
yan maty acha tu
niliona ilo wakati tupo 3rd yr pale udsm ahh jamaa akambwaga shoga yangu kwa mbwembwe nakwambia dahh yan bmkubwa alilia saana cz alikuwa mtiifu sana kw jamaa si wa kujirusha si wa kwenda disko akitoka sana kaenda makuburi kansani...bt jamaa mara npo hil pak mara daruso mara udasa mpk saa 8 za usiku kumbe yupo blok a mabibo hstl ana...na mtu mwngine....mwsho wa siku akamtamkia shost ahh we ka vp seeeepa tu tena sepa mazima sikutaki ata kukuona ..nanajua uwez pata men mwngine.... na utafeli tu...na lazima utakwama cz we mshamba tu...bibie akasema tawile...ahh ile majibu kutoka mwaya jamaaa akapata sapu na akashndwa kuisafisha ahh sa ikawaje...ajagraduate mpk nw..bibie akapata job afta chuo then akapata mdume mwngne tena mdume wa ukweli si kinyangaruka km kile..anajua kupenda na kila kitu kimo...saasa yule jamaa anambwela mbwela tu anaishia tu kutoa maneno mbovu lakin bibie hana hiyana anamtumiaga vivocha vocha...bt mapenz noooo!!!!!!!!!!!!
mie alikuwa anawaambia frnds zake kuwa ameamua 2 kuniacha coz ameona sio hadhi yake, maneno ya kashfa na kejeli za kutosha, alivyopata habari kuwa nyamayao anaolewa, alifanya juu chini kumjua muoaji, cku ya cku nakutana nalo nipo na mr mtarajiwa, linabaki linashangaa! na kutuma watu eti alifanya makosa so tuyasuluhishe ili tuweze kuanza maisha mapya....yaani nikilikumbuka nackia kichefu chefu kabisa...
......Best ni kama baadhi yenu wafanyavyo akikumwaga---- kashfa zote utatupiwa wewe- Ngoma droo au?wanawake nyinyi huwa mnanishangaza sana, ukiwa na mshikaji unamwita majina yote yaliyo matamu ulimwenguni.... oooh handsome wangu, honey, sweet n.k. lakini akikubwaga tu unamwita kinyangaruka!sijui tuwaeleweje tu.