Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,265
Hahahahaha!!! Mzee DCHivi mkuu unajua ni kiasi gani cha hormone (testosterone) kinamwagwa kwenye damu ya dume kwa siku?? Wenzio hormone zao zinazunguka na lunar cycle na kwa hiyo hawako chini ya pressure ya chemical moja tu kama sisi!!
Hata hivyo tushukuru sana maisha ya siku hizi yenye mishe mishe mingi...vinginevyo na huu utandawazi tungewapiga bao babu zetu ambao kwao minimum ilikuwa ni 2-3 wives!!
Hivi mkuu unajua ni kiasi gani cha hormone (testosterone) kinamwagwa kwenye damu ya dume kwa siku?? Wenzio hormone zao zinazunguka na lunar cycle na kwa hiyo hawako chini ya pressure ya chemical moja tu kama sisi!!
Hata hivyo tushukuru sana maisha ya siku hizi yenye mishe mishe mingi...vinginevyo na huu utandawazi tungewapiga bao babu zetu ambao kwao minimum ilikuwa ni 2-3 wives!!
naomba msamaha kwa niaba yake. plsssssssss..... a slight of the tongue.Astakaffirurah*3 , manyanza, manyanza my friend.............
Khaa....... we mwana!Tushaaambiwa baioloji zenu ndizo zinafanya msiridhike
Babu kama ni hivyo hamu ikiwashika si mmalizane na wake zenu au wapenzi wenu? kwa nini kubadilisha badilisha wanawake? ina maana kubadilisha ndio kutafanya hizo hormone zipungue au? kwa mpenzi wako mmoja haziwezi kupungua?
Ni kuendekeza tamaa tu. Mwingine anakufata vizuri unajua ni dume kumbe hamna kitu kwa zubri yake na kutamani pia hakomi ilhali anajijua hana uwezo wa kumridhisha mwanamke.
.......maty acha kunyanyapaa wenzio, yawezekana hao vidole vinakuwa active sana, kama njia mbadala.............
Pengine waweza jiuliz a kwa nini wanaume wengi hata wakutane na wanwake kama malaika wasiojua kutoka nje lakini wanashindwa kujiheshimu??je wewe ni mmja wa haka kagonjwa??
Wenye uzoefu tusaidiane jamani!!
Nafikiri wawili wakiwa kwenye shughuli wanachezeana ila mabinti hupenda kijiona kama wao ndio wanatoa wakati wao ndiyo wapokeaji wakubwa kuliko kinyume chake. Anayemchezea mwenzie hapo ni nani?Hahhaaha lol! umenichekesha bila kutarajia. Sasa kama mtu anajijua hivyo si atulie tu na mpenzi mmoja? lakini ni watongozaji hao balaa, nao kinachowasumbua ni nini? Ndio maana nasema hakuna cha hormone kujaa wala nini ni kujiendekeza tu na kupenda kuchezea wadada
hapo nilipo bold sikubaliani na wewe hizo zilikuwa ni tamaa za jamaa yenu muhammad tu. Hebu fikiria na mwanamke angekuwa anaolewa na mwanamume zaidi ya mmoja ingekuwaje? Simple question
<br />sasa mie nataka mwanaume wangu matamanio yake ayalete kwangu aone kama hajachoka mwenyewe<br />
nikishindwa ndio aniletee habari ya baioloji not now najijua kila akitaka nitamtimizia tu, nia ninayo, uwezo ninao, na hamu pia ninazo
We usiyerizika, ulikuwa wapi siku zote?..................msamehe bure....
...Mh! Kweli? wengine hupenda kubadirisha mitandao kulingana na hali ya hewa vipi wewe unatoa mitandao mbadala mtu akihitaji???sasa mie nataka mwanaume wangu matamanio yake ayalete kwangu aone kama hajachoka mwenyewe
nikishindwa ndio aniletee habari ya baioloji not now najijua kila akitaka nitamtimizia tu, nia ninayo, uwezo ninao, na hamu pia ninazo