hii lugha mkuu tunaizungumza sana huku Bauchi.....kama unatokea Taraba....mpakani kabisa.......
Mi nafahamu huko ukifika pale njia panda ya Trosaju ukiingia upande wa kushoto karibu na Monyaldi ndio hapo anaposema huyo jamaa.Du..mkuu unazidi kuniweka gizani! Labda nikupe mji unieleze kwa lugha nyepesi..
Mwanaume bikra huwa hajui papuchi ilipo, sasa atafutwe kwa ajili ya nini?????
Mwanaume kwanza juwezi
kuprove km ipo,but most i look up to him anifundishe mambo mengne,sasa
mi nikiwa tcha kuliko yeye ht hainogi
Mh....!!!
Hivi watu wengine kabla ya kuweka sredi, huwa mnajihoji nafsini mwenu kwanza?
ndo hivo, nshawahi kuulizwa mie et mbona siioni????
Mwanaume bikra huwa hajui papuchi ilipo, sasa atafutwe kwa ajili ya nini?????
Sio kunoga tu, atakuchukukia kama malaya
Kwa hiyo anaweza akaitafuta usiku kucha asiione hadi asubuhi?
ndo hivo, nshawahi kuulizwa mie et mbona siioni????
Mwanamme bikra!!! Wa kazi gani? Atakua mzigo tu hata ukimwambia k ipo kitovuni ataamini
Ahya ngoja na wao waje waseme wenyewe kama wanapenda sealed
Mwanamme bikra!!! Wa kazi gani? Atakua mzigo tu hata ukimwambia k ipo kitovuni ataamini
Aiseee