Hivi kwanini wanawake hawawatafuti wanaume wenye bikra?

hii lugha mkuu tunaizungumza sana huku Bauchi.....kama unatokea Taraba....mpakani kabisa.......

Du..mkuu unazidi kuniweka gizani! Labda nikupe mji unieleze kwa lugha nyepesi..
 
Du..mkuu unazidi kuniweka gizani! Labda nikupe mji unieleze kwa lugha nyepesi..
Mi nafahamu huko ukifika pale njia panda ya Trosaju ukiingia upande wa kushoto karibu na Monyaldi ndio hapo anaposema huyo jamaa.
 
Mwanaume bikra huwa hajui papuchi ilipo, sasa atafutwe kwa ajili ya nini?????
 
Mwanaume kwanza juwezi kuprove km ipo,but most i look up to him anifundishe mambo mengne,sasa mi nikiwa tcha kuliko yeye ht hainogi
 
Mwanaume kwanza juwezi
kuprove km ipo,but most i look up to him anifundishe mambo mengne,sasa
mi nikiwa tcha kuliko yeye ht hainogi

Sio kunoga tu, atakuchukukia kama malaya
 
Mwanamme bikra!!! Wa kazi gani? Atakua mzigo tu hata ukimwambia k ipo kitovuni ataamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…