Rayvanny wa jamiiForums
Senior Member
- Apr 7, 2023
- 132
- 351
Wewe naye unatuchosha na mada zako hizii za kila dakika ambazo hazina maana yeyote utafikirii umebalehe Jana acha utoto basii!!!Wanawake huwa mnatuchanganya sana unakuta asubuhi mtu anapost “Yani huyu mwanaume ananijulia, nimeamka kashapika eti ehhh”. Mchana “Nani anitoe lunch leo?”. Usiku “Ni muda sasa nipo singo sababu wanaume ni mbwa”. Andikeni script freshi, tunafuatilia story.
Wanajua wanachokitaka ni vile wanajitoa ufahamu na wengine wanaenda mbali zaidikwa kusema hawajui wanachokitaka ili kuhalalisha umalayer wao.Wanawake huwa mnatuchanganya sana unakuta asubuhi mtu anapost “Yani huyu mwanaume ananijulia, nimeamka kashapika eti ehhh”. Mchana “Nani anitoe lunch leo?”. Usiku “Ni muda sasa nipo singo sababu wanaume ni mbwa”. Andikeni script freshi, tunafuatilia story.
sema wanakuchanganya sio wanatuchanganyaWanawake huwa mnatuchanganya sana unakuta asubuhi mtu anapost “Yani huyu mwanaume ananijulia, nimeamka kashapika eti ehhh”. Mchana “Nani anitoe lunch leo?”. Usiku “Ni muda sasa nipo singo sababu wanaume ni mbwa”. Andikeni script freshi, tunafuatilia story.
DuuhWanajua wanachokitaka ni vile wanajitoa ufahamu na wengine wanaenda mbali zaidikwa kusema hawajui wanachokitaka ili kuhalalisha umalayer wao.