Miwivu isiyo na mpango nani anaitaka?
acha ujinga ww!!si ungewauliza hao waliokwambia wanawapenda?.............kama huna chakusema toka humu ndani haraka tena!!!!!!
That's a good way of ending the discussion....!!except you and Lizzy offcourse...lol
Really dearest? there is something wrong somewhere....will let you know what it is.....!!Hahahahaha. . .smart move Boss.
wasandawe wako poa saana!hao wanawake uliokutana nao wewe ni wa wapi....?
ninavyojua mimi.....wanawake wengi tunapenda wanaume wa kisandawe.......
Acha ushamba!umewakagua ukaona?Ina maana wanawake wengi wanapenda Magovi !!maana wasukuma wengi ni magovi......
Wanaume wa kisukumu ni yes-men! Hawakatai chochote kutoka kwa wapenzi wao. Chochote anachokisema mwanamke ni lazima atakifanya. Kwa lugha want!!
Ha ha ha, ulisoma enzi za Malale?
Nakumbuka sana pale na mambo ya mijara, ulinzi wa usiku mle ndani ilikuwa ni wakurya, anakukumbiza lakini akikufikia karibu anataka uongeze mwendo ili akupige mtama sehemu nzuri.
nimekutana na wanawake wengi, na wanasema wanapenda sana wanaume wa kisukuma sijajua kwann wanapenda?
poa ngoja:-
wanapenda wasukuma kwa sababu
1. Wanajua mambo ya 6x6
2. Wachapa kazi
3. Wanajari
4. Wakarimu
5. Wananguvu kwa sababu wanakula ugali mgumu (hawali chips)
6.wanamapenzi ya dhati.
7. Sio wachoyo
8. Ni wawazi
9. Siyo masharobaro
10. Wana govi, hivyo wanaweza kuzalisha unga na kamwe hutokosa unga wa ugali, kwani mb....zao zinatoa unga.
we mbuzi kabisa wana govu walishakulala
we mbuzi kabisa wana govu walishakulala
nasikia wanapenda migovi yao. Si unajua wasukuma hawatairi.
ahsante kwa kuniita mbuzi lkn ukweli uko wazi kwamba wasukuma hawatahiriwi?
we mbuzi kabisa wana govu walishakulala
sema ukweli ndugu yangu. Wasukuma wanatahiriwa toka lini?