Hivi kwanini wanawake wengi wanapenda Wasukuma?


siyo zamani sana kama unavyofikiria. Ni miaka ya 1995 - 2002. Labda ndani ya miaka hii kama wamechangamka kutahiri, then hiyo ni habari njema sana. Ndugu zangu wasukuma tuliosoma nao Tarime Secondary mwaka 1995 -1998 walipata shida sana hasa maji yalipokuwa yamekatika kwenye mabomba na hivyo kulazimika kwenda mtoni kuoga. Kwani mwaka huo ni wengi sana Form 1 tulitolewa sehemu mbalimbali kwenda kujiunga Tarime secondary,na kule ni kwa Wakurya (muulize Mwita Maranya atakuambia shida waliyokuwa wanakumbana nayo MRISHIA). Ndiyo maana nakuambia walipata shida sana na mwishoni kuna baadhi yao waliamua kutahiri ili kuondokana na adha ya MKONO WA SWETA. Hatahivyo, mwamko haukuwa mkubwa sana. Na kama sasa wana mwamko hata kwa watoto, then hiyo ni habari njema na Hongereni sana, kwani kutembea na MASHINE YA UNGA a.k.a MKONO WA SWETA ni jambo la aibu sana na la uchafu.
 

ok kumbe wewe ni msuku ila tatizo unagovi kwa hiyo usihukumu na wenzako wakati ni tatizo lako binafisi
 

kama enzi hizo bwana RDI ni sawa lakini sikuhizi hadi wazee wanatahiri wamechangamuka kweli
 
Tena akina wanawake utawasikia kwenye pale Mwenge wakioshwa miguu wakisema. "Jamani sijawahi kukutana na mwanaume anayejua kutoa raha kwa mwanaume kamaniliye kutana naye jana" wapili atasema "atakuwa Msukuma huyo"

Wasukuma wanatoa raha kwa wanaume wenzao siku hizi?kweli maendeleo,hawa jamaa hata kunywa maji ya dafu walikua hawanywi eti wanaogopa kuota matende wakawawa wanatuacha sie watu wa pwani tukiyafaidi maji ya dafu na nyama ya ndani ya dafu,leo wamekuwa mabingwa wa kutoa raha kwa wanaume wenzao!!!!!!!!kweli hii sio ile Tanzania ya Nyerere na Sokoine.
 
hao wanawake uliokutana nao wewe ni wa wapi....?
ninavyojua mimi.....wanawake wengi tunapenda wanaume wa kisandawe.......


Wa Kiiraqw bana ndio mnaowapenda.
 
hongereni kaka zangu mmebarikiwa kwa mambo mengi
 
mie nilishawahi kuwa nao wawili,na wote nilokuwa nao ni wapole kupita kiasi mpaka wanabore hawana maamuzi,kama unapenda mwanaume wa kumtawala basi tafuta hao lol,na wana mitarimbo ya haja afu hawajui kuitumia ipasavyo,basi si maumivu?lol
 
:A S embarassed: jamani tuacheni na usukuma wetu nyie kama hamyajui basi, msukuma huwezi muweka kiganjani hata siku moja. Sisi ni watafutaji na pia tunajua kutumia
 
That's a good way of ending the discussion....!!

Really dearest? there is something wrong somewhere....will let you know what it is.....!!

Siunaona mwenyewe umesalimu amri dearest?lol
Nijuze basi. . . .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…