my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,397
Mimi na tokea tanzania lakin si ishi huko kwa washambaWw unatokea nchi gani
Asante na wewe lolAsante sana
Huna cha kunisaidia kwahiyo wewe tulia tuMkuu sasa tukusaidie kitu gani labda
Wajinga siku zote hurithi Upumbavu.
Hili Taifa lina Wajinga Wengi mno kama mchanga wa Pwani na Wapumbavu.
Bila kusahau kila Watanzania Wanne kuna mgonjwa wa akili mmoja"Kichaa"
Akili ndogo Muda Mwingi hujadili Watu,Umbea Majungu na Fitna.
Mjinga anapokosolewa huchukia.Wewe mwenyewe lazima utakuwa na ukichaa kama sio ungepita taratibu kimya kimya kupitia tu celebrities forum unaonesha na wewe mbeya unampenda kujadili watu
Kwani kuna mtu amechukia? Au wewe ndio umechukia baada ya kuambiwa ukweli ππ siku nyingine ukuwe makini na unachoongea maana unajitia aibuππMjinga anapokosolewa huchukia.
Hata wa america na wao hufurahi wakija kutalii africa.Ati hamisa mobetto ameenda US basi wako wana mshangilia ati a meenda marekani π yani watanzania ni watu wa ajabu huwa wako proud na vitu vya ajabu kama walivyo wenyewe ππ watu wasiowahi kusafiri na kupanda ndege utawajuwa tu
Wewe ndio mshamba mwenyewe kuliko wote..mkataa kwao ni mtumwa..halafu hujui huo ni ushabiki maandazi tu wa mitandaoni..Mimi na tokea tanzania lakin si ishi huko kwa washamba
Ndugu zako tunakuchora tu unavyotuita washamba.Ati hamisa mobetto ameenda US basi wako wana mshangilia ati a meenda marekani [emoji23] yani watanzania ni watu wa ajabu huwa wako proud na vitu vya ajabu kama walivyo wenyewe [emoji23][emoji23] watu wasiowahi kusafiri na kupanda ndege utawajuwa tu
Aisee hili neno "mchanga wa pwani nawapumbavu" unamaanisha nin?Wajinga siku zote hurithi Upumbavu.
Hili Taifa lina Wajinga Wengi mno kama mchanga wa Pwani na Wapumbavu.
Bila kusahau kila Watanzania Wanne kuna mgonjwa wa akili mmoja"Kichaa"
Akili ndogo Muda Mwingi hujadili Watu,Umbea Majungu na Fitna.
umemaliza?Ati hamisa mobetto ameenda US basi wako wana mshangilia ati a meenda marekani [emoji23] yani watanzania ni watu wa ajabu huwa wako proud na vitu vya ajabu kama walivyo wenyewe [emoji23][emoji23] watu wasiowahi kusafiri na kupanda ndege utawajuwa tu