Alphani R Joseph
New Member
- May 6, 2024
- 4
- 0
Hivi kwanini watu lawama nyingi wanaitupia serikali?
Hivi hatuwezi kuitumia japo hii fursa ya amani kufanya mambo makubwa?
Ukiangalia kongo, Sudan na baadhi ya nchi za Afrika na dunia kiujumla wanatamni sana. Nchi zao japo kidogo zimantain tuu amani. Waweze kufanya mambo mengine.
Ila hii sishangai kila mtu alieshindwa huwa hakosi pa kupelekea lawama zake zilizomfanya ashindwe.
Maneno ya wakosaji.
Hivi hatuwezi kuitumia japo hii fursa ya amani kufanya mambo makubwa?
Ukiangalia kongo, Sudan na baadhi ya nchi za Afrika na dunia kiujumla wanatamni sana. Nchi zao japo kidogo zimantain tuu amani. Waweze kufanya mambo mengine.
Ila hii sishangai kila mtu alieshindwa huwa hakosi pa kupelekea lawama zake zilizomfanya ashindwe.
Maneno ya wakosaji.