Granted Faith
Member
- Jul 4, 2021
- 57
- 292
Shakespear kwenye Mchezo wa Julius Ceasar aliandika hivi.Watu walionyimwa mwili uwa wana roho mbaya sana Wabinafsi mnoo kupita maelezo kwa utafiti wangu mdogo nilioufanya isee watu walionyimwa mwili ni watu tofauti sana wana roho za ajabu sana yani sio Wivu, Chuki, Roho Mbaya, Wabinafsi, Wambea na wachonganishi
Sio kweli mkuu hata chembe,ukatili wa mtu uko moyoni mwakemaumbile hayana uhusiano kabisa,Hii ni dhana tuu ya kufikirika kama ile ya watu wafupi kuwa ni wabishi!Watakupinga ila kuna ukweli ndani yake, watu wembamba wengi wao wana sifa hizo....
Nasikia eti kwakua mioyo sijui iko karibu na mifupa 😁
Kuna mfumo ambao ndiyo kanuni kwamba kila kiumbe hanyimwi vyote.Watu walionyimwa mwili uwa wana roho mbaya sana Wabinafsi mnoo kupita maelezo kwa utafiti wangu mdogo nilioufanya isee watu walionyimwa mwili ni watu tofauti sana wana roho za ajabu sana yani sio Wivu, Chuki, Roho Mbaya, Wabinafsi, Wambea na wachonganishi
Kuwa kama mzimu anaetokeza kwa mwili bandia na kupotea 🤣🤣Kunyimwa mwili ndio kukoje[emoji848][emoji848][emoji848]
Anamaanisha wafupiHakuna uhusiano wowote Kati ya kukosa mwili na roho mbaya...mtu anaweza kuwa mwembamba mwezi huu baada ya miezi miwili akanenepa...na baade akakonda na kuwa mwembamba tena. Sasa hapo utasemaje!