Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Yaani enzi za utotoni mambo yalikuwa ni shida sijui ndiyo vyuma vilikaza au sijui nini?
1.Nyama ilikuwa bei rahisi tu lakini Kula mpaka Sikukuu tena mnapewa kipande kimoja tu na mchuzi wa kutosha.Siku hizi maisha yamekaba nyama bei ghali lakini watoto wanakula nyama mpaka Meno yanauma.
2.Wali ndiyo ilikuwa anasa mpaka Sikukuu na ukipikwa siku hiyo Nyumbani unarudi mapema.
3.Kama hujafanya kazi za home siku hiyo Basi unanyimwa tu nyama hiyo ni bonge la adhabu.Unaweza ambiwa tu kwanini hujachota maji Leo huli nyama.Unakuta mtu unaanza kwenda kisimani saa mbili au Tatu usiku ili upate nyama.
4.Kwetu ilikuwa ukila Chakula cha mama aliyetoka kujifungua Basi utapata matundu (Ugonjwa ambao unatokana na Kula Chakula cha mama aliyetoka tu kujifungua au kushea Vyombo anavyotumia.
Hii ilikuwa ni uongo tu.Nilinyimwa nyama na Mzee,kisa sijachota maji bahati nzuri kukawa na nyama ya mama ambayo tulikuwa haturuhusiwi Kula.Nikafanya yangu nikala ile nyama sikuugua hata kidogo Wala sikuota vidonda (Matundu) kama ilivyokuwa inaaminika.Nikajua huu ulikuwa ni uongo tu.
Waliopitia haya na mengine mpo.Hivi kwanini wazee walitufanyia haya lakini.Ndiyo mana hata tabia za udokozi zilikuwa nyingi.Assume umekosa nyama home au nyama imetokea mara moja tu utachaje kudokoa?
1.Nyama ilikuwa bei rahisi tu lakini Kula mpaka Sikukuu tena mnapewa kipande kimoja tu na mchuzi wa kutosha.Siku hizi maisha yamekaba nyama bei ghali lakini watoto wanakula nyama mpaka Meno yanauma.
2.Wali ndiyo ilikuwa anasa mpaka Sikukuu na ukipikwa siku hiyo Nyumbani unarudi mapema.
3.Kama hujafanya kazi za home siku hiyo Basi unanyimwa tu nyama hiyo ni bonge la adhabu.Unaweza ambiwa tu kwanini hujachota maji Leo huli nyama.Unakuta mtu unaanza kwenda kisimani saa mbili au Tatu usiku ili upate nyama.
4.Kwetu ilikuwa ukila Chakula cha mama aliyetoka kujifungua Basi utapata matundu (Ugonjwa ambao unatokana na Kula Chakula cha mama aliyetoka tu kujifungua au kushea Vyombo anavyotumia.
Hii ilikuwa ni uongo tu.Nilinyimwa nyama na Mzee,kisa sijachota maji bahati nzuri kukawa na nyama ya mama ambayo tulikuwa haturuhusiwi Kula.Nikafanya yangu nikala ile nyama sikuugua hata kidogo Wala sikuota vidonda (Matundu) kama ilivyokuwa inaaminika.Nikajua huu ulikuwa ni uongo tu.
Waliopitia haya na mengine mpo.Hivi kwanini wazee walitufanyia haya lakini.Ndiyo mana hata tabia za udokozi zilikuwa nyingi.Assume umekosa nyama home au nyama imetokea mara moja tu utachaje kudokoa?