Hivi kwanini Wema anapendwa?

Singida ndio home

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
3,188
Reaction score
3,370
Sina maana ya kumchukia Wema Sepetu, ila navyomona ni mtu wa kawaida tu kama wengine, kuna mastaa kibao bongo wanaofahamika kwa kazi zao na wanapendwa kawaida tu.

Sasa linapokuja suala la Wema naonaga anapendwa kwa jinsi alivyo tu kiasi kilichopitiliza..

Najiona tofauti sana, Hivi Wema mnampendea nini??
 
Ni wa uswaz mwenzetu ingawa mwenyewe anajiona mzungu.
 
Wema anapendwa kwasababu moja kuu..ana kuwa na SKENDO/KASHFA nyingi za mapenzi na anaziruhusu zijulikane.

Akitulia akaacha hizi skendo-skendo za mapenzi, KAMWE wanaompenda hawawezi kumpenda.

Kwaiyo ili azidi kupendwa lazima apore bwana wa mtu.. lazima atembee na mume fulani.. lazima amnyakue kigogo fulani.. lazima kuwe na fumanizi linalomuhusu nk nk.

Tuwe wakweli, habari nyingi za namna hii ndio watu wengi wanazipenda.

Lakini let's say Wema atulie tuli.. Hakuna atakaempenda.

Vimbwanga na hasa kashfa nyingi za Mapenzi ndio zinamfanya apendwe.
 

Nonsense, sema unampenda
 
Ni wa uswaz mwenzetu ingawa mwenyewe anajiona mzungu.

Umiss ni u malaya uliohalalishwa, wanaume wanapenda kuona mwanamke akiwa uchi, but this is against the law of the country. How do you do it then? Introduce the so called Miss Tanzania beauty contest, at least men can enjoy half nakedness
 
Nyota yake inang'araa na anakasauti kazuri kama ulikasikia alipokuwa central polis aliposema "mambo"
 
OK mkuu nami kwa mtazamo wangu wema anapendwa na mawifi na shemeji zake
Kanumba
Chazi baba
Mr blue
Tid
Huseni jumbe
Diamond
Na wengine wengi

Pia kama wanamwonea huruma sana coz pamoja na wote hao hajapa mtoto kwa mtazamo wangu
 
Mie nimependa tangu 2006!
Kwa uzuri wake,utoto wake usioisha hasa kupitia kasauti kake!
Huwezi choka kumsikiliza!
Japo amejichubua hapa na pale na kufanya body implants za pale na kule,ila she is still the best and beautiful woman any man can desire to posses!
Yuko simple na wa kitaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…