Wanajf,naombeni ufafanuzi....Hivi ni kwanini mawanamke huwa anapitiliza siku zake za hedhi? Kuna rafiki yangu mmoja mpenzi wake yamemkuta hayo,leo ni siku ya nne tangu ile tarehe yake aliyoizoea ipite.Nimewasilisha swali.............
Wanajf,naombeni ufafanuzi....Hivi ni kwanini mawanamke huwa anapitiliza siku zake za hedhi? Kuna rafiki yangu mmoja mpenzi wake yamemkuta hayo,leo ni siku ya nne tangu ile tarehe yake aliyoizoea ipite.Nimewasilisha swali.............