wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Kwa siku za karibuni tumeshuhudia Burundi ikileta watu wake kupata ajira hapa Tanzania.
Kuna makocha,tena wapo timu kubwa kabisa.
Achilia mbali lundo la wachezaji waliopo katika vilabu vyetu.
TFF isifanye nchi yetu shamba la bibi,ndiyo maana soka haliendi mbele.
Kuna makocha,tena wapo timu kubwa kabisa.
Achilia mbali lundo la wachezaji waliopo katika vilabu vyetu.
TFF isifanye nchi yetu shamba la bibi,ndiyo maana soka haliendi mbele.