Pre GE2025 Hivi kweli CCM imefikia hatua ya kupigiwa debe na kutwaliwa na Machawa kama Gari ya Chai Maharage enzi hizo Seriously?

Pre GE2025 Hivi kweli CCM imefikia hatua ya kupigiwa debe na kutwaliwa na Machawa kama Gari ya Chai Maharage enzi hizo Seriously?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Is it real? Yaani CCM inabebwa na sura za wasanii akina mwijaku, Dotto toyo, kiredio na mburura wengine, are we serious with our CCM? Shameful strategy, have we become so cheap to this level? Kweli chama kimetekwa? Je, ni uoga au ni ushamba?

Je, CCM kila nyakati CCM itakuwa chini mtu ambae yuko Ikulu na atafanya kila anachotaka? Je, ni kweli ndivyo ilivyo?

So sad such a massive shame, uncouth behavior.

Perplexed and angry

Pang Fung Mi
 
The bad thing is, most of us (anti-CCM) are just keyboard warriors not one has the guts to go out there aandamane kama majirani with reference to Kenya and Msumbiji
 
Is it real? Yaani CCM inabebwa na sura za wasanii akina mwijaku, Dotto toyo, kiredio na mburura wengine, are we serious with our CCM? Shameful strategy, have we become so cheap to this level? Kweli chama kimetekwa? Je, ni uoga au ni ushamba?

Je, CCM kila nyakati CCM itakuwa chini mtu ambae yuko Ikulu na atafanya kila anachotaka? Je, ni kweli ndivyo ilivyo?

So sad such a massive shame, uncouth behavior.

Perplexed and angry

Pang Fung Mi
Unaongelea marehemu CCM inayotegemea majeshi, watendaji, tume ya uchakachuaji na uzwazwa kuiba kura?
 
Na mwingine huyu hapa
 

Attachments

  • FB_VID_1738905729228.mp4
    1.3 MB
CCM wamefika mwisho na TRUMP kakata kamba UN na USAID dadeeeeeeeeeeeeki
Kwan Trump kukata misaada inampact gani? Si mtaongezewa tu tozo hapo
Is it real? Yaani CCM inabebwa na sura za wasanii akina mwijaku, Dotto toyo, kiredio na mburura wengine, are we serious with our CCM? Shameful strategy, have we become so cheap to this level? Kweli chama kimetekwa? Je, ni uoga au ni ushamba?

Je, CCM kila nyakati CCM itakuwa chini mtu ambae yuko Ikulu na atafanya kila anachotaka? Je, ni kweli ndivyo ilivyo?

So sad such a massive shame, uncouth behavior.

Perplexed and angry

Pang Fung Mi
Me nilichokua naamini kwa chama ambacho kimeshika dola, kwakua ndo kinaratibu mipango yote na fedha za walipa kodi, promotion yake kwa jamii ilikua ni kupitia:
Huduma safi kwa jamii
Miradi iliyotimizwa
Mipango mikakati ya maendeleo
Na uhuru na usawa.

Ila promotion inatumia pesa kibao, machawa kibao, fitna kibao, wasanii kibao, masifa yakinafki kibao. Ujue hakuna kazi yoyote wala mipango inafanyika ktk chama hicho.

Vyama vya siasa Tanzania ni siasa dhidi ya matendo
 
Is it real? Yaani CCM inabebwa na sura za wasanii akina mwijaku, Dotto toyo, kiredio na mburura wengine, are we serious with our CCM? Shameful strategy, have we become so cheap to this level? Kweli chama kimetekwa? Je, ni uoga au ni ushamba?

Je, CCM kila nyakati CCM itakuwa chini mtu ambae yuko Ikulu na atafanya kila anachotaka? Je, ni kweli ndivyo ilivyo?

So sad such a massive shame, uncouth behavior.

Perplexed and angry

Pang Fung Mi
Ni chama kinachojifia/wala usihangaike kufikiri sana/ chama kimezeeka balaa./
Inatakiwa watoke watu smart ccm wakaanzishe chama kingine

Ww hujiulizi kila mwaka wanakuja na sera za kujenga barabara, kuleta maji, kuimarisha huduma za afya elimu. Unabaki kujiuliza huko nyuma walikuwa wanatawala nani unakuta ni hao hao.

Miaka yoooote wameshindwa kuboresha kwa viwango vinavyotakiwa
 
CCM hawana namna nyingine ya kufanya kwa sasa! CCM imechoka.
 
Back
Top Bottom