Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Rais ametoa tamko rasmi kuwa serikali imesaini (itasaini?) mkataba wa kununua umeme kutoka Ethiopia ili kuondoa kama sio kupunguza kabisa tatizo la umeme kukatika katika ovyo katika mikoa ya kaskazini.
Huenda labda sina taarifa sahihi, lakini sote tunajua kukatika katika ovyo kwa umeme kupo nchi nzima lakini kuna maeneo na mikoa fulani ambayo hukumbwa zaidi na hii kadhia hususani Dar na Mwanza ambapo huhitaji na matumizi ya umeme ni makubwa kupitiliza kiasi ambacho athari ya kukatika umeme huenekana haraka na kwa ukubwa sana.
Soma Pia: Rais Samia: Serikali itanunua Umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini
Kuna kaharufu fulani kaupigaji kwa kutengeneza tatizo na kisha kukatafutia suluhisho la kimagumashi ili kupiga pesa.
Huenda labda sina taarifa sahihi, lakini sote tunajua kukatika katika ovyo kwa umeme kupo nchi nzima lakini kuna maeneo na mikoa fulani ambayo hukumbwa zaidi na hii kadhia hususani Dar na Mwanza ambapo huhitaji na matumizi ya umeme ni makubwa kupitiliza kiasi ambacho athari ya kukatika umeme huenekana haraka na kwa ukubwa sana.
Soma Pia: Rais Samia: Serikali itanunua Umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini
Kuna kaharufu fulani kaupigaji kwa kutengeneza tatizo na kisha kukatafutia suluhisho la kimagumashi ili kupiga pesa.