Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Mimi kama Mkristo, moja ya simulizi ni kuwa maandiko katika kitabi cha Bibilia yalianza kwa kuandikwa kwenye ngozi, mawe na mfano ni amrii kumi za Mungu kupitia Nabii Mussa.
Tunaambiwa Mungu alishusha hizo amrita kwa Mussa na baadae zikaandikwa kwenye mawe na ndio hizi tunazisoma katika Bibilia leo hii.
Binafsi nikiangqlia ukubwa wa Bibilia, najiuliza kweli maandishi yote yale yaliweza kuandikwa katika mawe?
Hata tukisema kulikuwa na njia nyingine ya kuandika, maandishi yote ya kwenye Bibilia wailiwezaje kuyaandika?
Je, haiwezekani tunayoyasoma kwenye Bibilia ni story tu za kutungwa na wanadamu ili walau binadamu wawe na hofu ya kufanya maovu kama kuua, kuiba, kuzini, kudhulumu, n..k?
Ya Qruan siyajua ila sidhani kama yana tofauti na ya kwenye Bibilia kwa maana yalivyoandikwa.
Inafikirisha sana!!
Tunaambiwa Mungu alishusha hizo amrita kwa Mussa na baadae zikaandikwa kwenye mawe na ndio hizi tunazisoma katika Bibilia leo hii.
Binafsi nikiangqlia ukubwa wa Bibilia, najiuliza kweli maandishi yote yale yaliweza kuandikwa katika mawe?
Hata tukisema kulikuwa na njia nyingine ya kuandika, maandishi yote ya kwenye Bibilia wailiwezaje kuyaandika?
Je, haiwezekani tunayoyasoma kwenye Bibilia ni story tu za kutungwa na wanadamu ili walau binadamu wawe na hofu ya kufanya maovu kama kuua, kuiba, kuzini, kudhulumu, n..k?
Ya Qruan siyajua ila sidhani kama yana tofauti na ya kwenye Bibilia kwa maana yalivyoandikwa.
Inafikirisha sana!!