Hivi kweli maandishi yote kwenye Bibilia yaliandikwa kwanza kwenye nawe na iliwezekana?

Hivi kweli maandishi yote kwenye Bibilia yaliandikwa kwanza kwenye nawe na iliwezekana?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Mimi kama Mkristo, moja ya simulizi ni kuwa maandiko katika kitabi cha Bibilia yalianza kwa kuandikwa kwenye ngozi, mawe na mfano ni amrii kumi za Mungu kupitia Nabii Mussa.

Tunaambiwa Mungu alishusha hizo amrita kwa Mussa na baadae zikaandikwa kwenye mawe na ndio hizi tunazisoma katika Bibilia leo hii.

Binafsi nikiangqlia ukubwa wa Bibilia, najiuliza kweli maandishi yote yale yaliweza kuandikwa katika mawe?

Hata tukisema kulikuwa na njia nyingine ya kuandika, maandishi yote ya kwenye Bibilia wailiwezaje kuyaandika?

Je, haiwezekani tunayoyasoma kwenye Bibilia ni story tu za kutungwa na wanadamu ili walau binadamu wawe na hofu ya kufanya maovu kama kuua, kuiba, kuzini, kudhulumu, n..k?

Ya Qruan siyajua ila sidhani kama yana tofauti na ya kwenye Bibilia kwa maana yalivyoandikwa.

Inafikirisha sana!!
 
Maana ya mawe kwenye biblia ni ipi,labda tujiulize hapo kwanza
 
Mimi kama Mkristo, moja ya simulizi ni kuwa maandiko katika kitabi cha Bibilia yalianza kwa kuandikwa kwenye ngozi, mawe na mfano ni amrii kumi za Mungu kupitia Nabii Mussa.

Tunaambiwa Mungu alishusha hizo amrita kwa Mussa na baadae zikaandikwa kwenye mawe na ndio hizi tunazisoma katika Bibilia leo hii.

Binafsi nikiangqlia ukubwa wa Bibilia, najiuliza kweli maandishi yote yale yaliweza kuandikwa katika mawe?

Hata tukisema kulikuwa na njia nyingine ya kuandika, maandishi yote ya kwenye Bibilia wailiwezaje kuyaandika?

Je, haiwezekani tunayoyasoma kwenye Bibilia ni story tu za kutungwa na wanadamu ili walau binadamu wawe na hofu ya kufanya maovu kama kuua, kuiba, kuzini, kudhulumu, n..k?

Ya Qruan siyajua ila sidhani kama yana tofauti na ya kwenye Bibilia kwa maana yalivyoandikwa.

Inafikirisha sana!!
amrita maana yake nini
 
Kuna vitu inabidi kujua kabla ya kuwaza inawezekana vipi

Moja:Biblia haijaandikwa na mwandishi mmoja na kwa wakati mmoja(Kila kitabu kina mwandishi wake na katika wakati wake)

Pili:Biblia sio story bali kitabu kilichobeba ujumbe ulio katika ufunuo wa Mungu kwa wanadamu, historia ya mtu na jamii husika pamoja na watumishi wake.Yote yakikusudia kumuongoza binadamu katika kuishi kwake

Juu ya uandishi vitabu au ujumbe ulio katika biblia uliandikwa vipi na wapi nadhani kuna sehemu unaonyeshwa kwenye into chapter ya kitabu husika au hawaonyeshi pia(New Jerusalem bible wanafanya hivyo)
 
Mimi kama Mkristo, moja ya simulizi ni kuwa maandiko katika kitabi cha Bibilia yalianza kwa kuandikwa kwenye ngozi, mawe na mfano ni amrii kumi za Mungu kupitia Nabii Mussa.

Tunaambiwa Mungu alishusha hizo amrita kwa Mussa na baadae zikaandikwa kwenye mawe na ndio hizi tunazisoma katika Bibilia leo hii.

Binafsi nikiangqlia ukubwa wa Bibilia, najiuliza kweli maandishi yote yale yaliweza kuandikwa katika mawe?

Hata tukisema kulikuwa na njia nyingine ya kuandika, maandishi yote ya kwenye Bibilia wailiwezaje kuyaandika?

Je, haiwezekani tunayoyasoma kwenye Bibilia ni story tu za kutungwa na wanadamu ili walau binadamu wawe na hofu ya kufanya maovu kama kuua, kuiba, kuzini, kudhulumu, n..k?

Ya Qruan siyajua ila sidhani kama yana tofauti na ya kwenye Bibilia kwa maana yalivyoandikwa.

Inafikirisha sana!!
Wewe ni muislam,Hakuna mkristo anamuita Musa nabii Musa.
 
Kuna vitu inabidi kujua kabla ya kuwaza inawezekana vipi

Moja:Biblia haijaandikwa na mwandishi mmoja na kwa wakati mmoja(Kila kitabu kina mwandishi wake na katika wakati wake)

Pili:Biblia sio story bali kitabu kilichobeba ujumbe ulio katika ufunuo wa Mungu kwa wanadamu, historia ya mtu na jamii husika pamoja na watumishi wake.Yote yakikusudia kumuongoza binadamu katika kuishi kwake

Juu ya uandishi vitabu au ujumbe ulio katika biblia uliandikwa vipi na wapi nadhani kuna sehemu unaonyeshwa kwenye into chapter ya kitabu husika au hawaonyeshi pia(New Jerusalem bible wanafanya hivyo)
Yaani hata uki-google, ni mapicha picha tu maelezo hayaeleweki na hayajitoshelezi
 
Eti Qurani ilishushwa kweli nyumbu ni wengi sana hapa duniani
Ndio hivyo wanavyodai kuwa ilishushwa? Mbona Bibilia haikushushwa kama vitabu vyote vinatoka kwa Mungu mmoja? Au Mungu nae alikuwa hana teknolojia hiyo wakati wa kuandikwa kwa vitabu vya Bibilia?
 
Back
Top Bottom