Hivi kweli mama zetu ndio wawe watunzaji wa mali zetu? Mnawajua mama zetu walivyo?

Wamama wa bongo utakuta amegawia wadogo zako, wajomba zako, majirani, wajukuu. Labda uwe mtoto pekee! Na hapo uhakikishe ameandika kabisa wosia na kukupa umiliki wa hizo mali ikitokea akafariki kabla yako. msije kuiga, mtakuja kulia humu. Wamama wengi hata ukimkopesha usitegemee sana kulipwa. (Sio wote lakini)
 
Hujanielewa...!! Nimesema hivi, mkeo naye ni mama kwa watoto wako. Anzia hapo
Mimi nimekuelewa sana, na ndio nimekupa jibu hapo.
Mke wangu kwa sababu ananifaa sana mimi kama life partiner katika michongo ya maisha yangu binafsi niliyojipangia haina maana atawafaa watoto wangu katika michongo ya maisha yao na wakikuwa wakubwa.

Kuna kitu kinaitwai Zama (Nyakati), Interest, Personality, Mazingira na Malengo (Vision&Mision) hizo ndio ziliamua mtu aoe mtu wa namna gani, na hizo vitu ndio zinatofautisha kati ya ndoa ya babu yako, baba yako, wewe na watoto wako. Mke wangu ananifaa mimi tu kimaisha, watu wengine sio lazima awafae.
 
Wamama wa pwani wengi ni mashangingi tuu ,malaya na mambo mengi ya hovyo hovyo
Kwa hiyo wale wamama wa kule kaskazini wanaovuka boda kwenda kupigwa miti kule Kenya ni watakatifu?

Ama wale mama wa kule Arusha wanatafuna mrungi na kutupia konyaji kama maji ndio wapambanaji?
 
Tusahau kuhusu wanawake wa kule Kaskazini (ambao kiasi ni wajanja katika kumiliki mali).

Ndugu unaposema bara unamaanisha pia Dodoma, Singida, Tabora, Kigoma, Mwanza, Shinyanga, Mara?
Nadhani ulimaanisha pia wamama wa vijijini?

Sasa pita hayo maeneo halafu nenda katazame ni mama zetu wangapi.
1. Walifanikiwa kusoma na kufika hata kidato cha nne.
2. Hawaamini kwenye ushirikina
3. Hawatumikishwi na waume au jamii zao kama manamba.
4. Waliwahi kumiliki mali binafsi za thamani katika maisha yao kama nyumba, kiwanja, shamba, gari au pesa angalau milioni moja.
5. Wana nguvu ya kimaamuzi katika maisha yao.
6. Wana akili na upeo wa kutafuta, kuzalisha na kutunza mali zao binafsi.

Bora hata wanawake wa pwani, japokuwa hawajatulia lakini wana exposure kubwa kuhusu mali. Sio wajinga au washamba wa kumiliki.
 
Kule kanda ya ziwa wamama wa umri huo ndio wanauwawa kwa Imani za kishirikina au jamii kuwafirisi mali walizorithi kutoka kwa waume zao waliofariki.

Hapo kuna usalama wa kuwamilikisha mali zako?
Jamii gani iwafirisi hacha uongo kila kabila lina tamaduni zake kwenye mirathi mfano kuna kabila Baba akifa Mama ana rithi mali na mfano Baba naama wakifa wanaotakiwa kurithi ni watoto wakiume tu, mtoto wakike harithi mali.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Sheria ya ndoa ya Tz iko wazi, mume akifa, mali zinabakia chini ya uangalizi wa mke, warithi ni mke na watoto tu.
Sasa nenda kanda ya ziwa ukaone wamama wanavyogeuka kuwa maskini na manamba mara tu waume zao wanapokufa hali walikuwa na mali.

Hivi unadhani ni kwanini, wazee wa kanda ya ziwa hawapendelei na hawataki vijana wao wakaoe Kaskazini (ususani Kilimanjaro)?
Kule Kilimanjaro, mume akifa, mara moja anachukua control ya mali zote walizochuma na muwewe, ndugu hagusi wala kuambulia hata kijiko.
 
Usisahau, mkeo naye ni mama kwa watoto wako..!! Kama wewe umemuamini ukamuandika kama mkeo, una hofu ipi mtu huyo huyo aliandikwa kama mama na watoto wako..!??
Awasomeshe na wao watamwandikisha Mama yao halafu yeye mamai yake atakuwa mzee au hayupo kabisa ndiyo atakumbuka
 
Wewe subili utasikia watu wanajitundika kila mahala baada ya kukuta Mama naye analea katoto ka watu kaserengeti kwa raha zake.[emoji23]
 
Walishakataa hizo sifa unazowapa wanawake sasa unataka wanaume tujilazimishe. Mwanamke amefika hatua ya kusema hamuitaji mwanaume maishani mwake, nikuulize kwanini unatusumbua sisi kujipendekeza kwawatu wasiotuhitaji. Muache mtoto wa kiume naye afanye yake maana mlimuachia mtoto wa kike mpaka sasa hashikiki. Yawanaume waachie wanaume hayakuhusu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari yenyewe ya kutunga tu Wala Haina ukweli. Nyie mna komaa na Hakimi Huku mwenzenu kalipa kichwa na mkewe huko
 
Kiujumla mleta uzi ana wivu ambao hauna maana
 
Sasa kwa akili zako unategemea kulipwa na mama embu fikiria mtu amekubali kukubeba miezi 9+ alafu mtu anakuja kuropoka kwamba mama sio mtu wa kumwachia mali zako
 
Upupu
 
Mi namuamini mama yangu kuliko hata ninavyojiamni mwenyewe,

Alafu we sikia kama umeandika huu ujumbe ili kumridhisha mke wako shauri yako..

Lakini pia Kila mtu anajua namna anavoishi na mke wake kwahyo hili ni jukum la mwanaume mwenyewe eidha ajifunze kitu kwa hakimi au laa!

Kiukweli binadam saiv hatuaminiani sio mwanaume Wala mwanamke ukibahatika kuisoma akili ya mwenzio mapema we fanya tu maandalizi.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…