chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Najiuliza tu, kama kweli kuna umakini katika hili, mbali na katibu mkuu wa wizara kukesha gym na mitandaoni, sioni alichokifanya katika Wizara, ni mambo ya status quo ante.
Arusha na Dodoma, tuliambiwa watajenga viwanja, kuna dalili?.
Naona Rwanda anakarabati na kujenga viwanja kama vile kuna kitu amekiona kitatokea, akapewa yeye nafasi.
Arusha na Dodoma, tuliambiwa watajenga viwanja, kuna dalili?.
Naona Rwanda anakarabati na kujenga viwanja kama vile kuna kitu amekiona kitatokea, akapewa yeye nafasi.