Bas mpanda ngazi hushuka
Uwe serious...watu wametajirika sana mwaka jana hukoNakuweka kiporo kisimu kinazima charge Ila nitakujib
Yah anajuhudi ila asipoangalia itamcostHata Hamisa yuko juu kwa Sasa
PoaNiko serious
Wema alitakiwa awe mbali sana sana.
But I guess the fame that came at such a tender age overwhelmed her.
The people around her didn't do much to help her bask in her glory more than 10 years down the line, or play her cards right.
Enlish sijaijua bado.Naomba unifundishe Enlish japo nami niweze kusalimia wadogo zangu home karuchi
Enlish sijaijua bado.
Wadogo zako watakusaidia.Ile lugha wanayo ongea wale watu weupe waliotutawala hadi mwaka 1961.
"English"
wema ziwa km furushiWema Leo amepost picha zake Kali baada ya kufuta post zake zote za mwaka Jana. tangu mwaka mpya uanze Leo Ndio kapost picha zake cha kushangaza sio Kama kawaida ilivyokuwa awali, Zamani ilikuwa hapatoshi Malkia huyu akituma picha zake. Lakini naona watu wako Kimyaaaa hata ile team yake hakika Hakuna amsha amsha kama za awali. Hakika Hakuna marefu yasiyo na ncha
View attachment 669797 View attachment 669798 View attachment 669799 View attachment 669800