Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Si kila mtu anavaa anachopenda unataka lazimisha wote
Nawewe unakomaa unashupaza mishipa ya macho unaangalia kalio la mwanaume! Ufirauni huo
Kuna siku tulikuta mchupi kwenye kamba ya bwenini watu hatukulala tunangojea tuone nani ataanua ule mchupi
Sijui ikawaje asubui tumeamka haipo na hamna aloshuhudia aloanu...
Zinawabana hizo suruali? Kama jibu ni ndio hakuna wanaume kamili hapoKumbe bado kuna wanaume wana vaa pichu mpaka sasa licha ya boksa kuwa nyingi wana vaa pichu za kiume na mstari unatokezea kwenye suali kabisa
Zinawabana hizo suruali? Kama jibu ni ndio hakuna wanaume kamili hapo
Haya mambo peleka kweny Uzi wa wasukuma
Dahh!!umenikumbusha mbalii sana, Mabibo hostel, pale block F kulikuwa na Father mmoja kila Saturday lazima aanike vyupi na vesti nyeupe kamba nzima alafu ni size kubwaKumbe bado kuna wanaume wana vaa pichu mpaka sasa licha ya boksa kuwa nyingi wana vaa pichu za kiume na mstari unatokezea kwenye suali kabisa
Mimi huwa hazinibani mpaka kuonesha mistari na ramani na mipaka ya chupi[emoji23][emoji23][emoji23] nguo za mazoezini af kavaa
Dahh!!umenikumbusha mbalii sana, Mabibo hostel, pale block F kulikuwa na Father mmoja kila Saturday lazima aanike vyupi na vesti nyeupe kamba nzima alafu ni size kubwa
Hata kama sio la kuangalia makalio ya wajuba[emoji23][emoji23][emoji23]kaka mkubwa macho hayana mpaka ujue ukikaa vijiweni unajionea vituko vingi sana
Hata kama sio la kuangalia makalio ya wajuba
Maasai ni kivutioSasa iyi moja masai alikuwa amenunua boksa akavaa hapo hapo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo na huyu tunge funga macho ase