Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mm hadi 60 hua zinafikaWakuu, nimekaa nimewaza na kuwazua sijawahi ikuta post hapa jf unalike zinazozidi 6 nyingi sana zina ishia 5. Tafadhari wajuvi mnijuze,
Ndio kwenye post moja tuSawa mkuu kwenye post moja..? Au
Unlimited ukiingia kwa browser utazionaWakuu, nimekaa nimewaza na kuwazua sijawahi ikuta post hapa jf unalike zinazozidi 6 nyingi sana zina ishia 5. Tafadhari wajuvi mnijuze,
Yeah hii imetokea baada ya kufanya mabadilikoSawa mkuu...mi natimia hii app yao kumbe wamelimit likes kwenye hii app.. sijui wanajua hili...??