Hivi lile tangazo ndani ya Mabasi ya Mkoani kuwa usinywe wala usile kitu chochote kutoka kwa mtu usiyemjua ni sahihi?

Hivi lile tangazo ndani ya Mabasi ya Mkoani kuwa usinywe wala usile kitu chochote kutoka kwa mtu usiyemjua ni sahihi?

kivindo boy

New Member
Joined
Feb 23, 2019
Posts
3
Reaction score
2
Navuta picha miaka ya nyuma kidogo jinsi mahusiano ya mtu mmoja mmoja bila kujuana dini wala kabila kwenye vyombo vya usafiri hasa hasa safari za mikoani yalikua hayana kutiliana shaka kamwe.

Cha kushangaza siku hizi mahusiano yamevurugika na kupoteza uaminifu kabisa mpaka tunafikia hatua ya kutangaziana kuwa USIPOKEE KITU CHOCHOTE CHA KULA WALA KUNYWA KUTOKA KWA MTU USIO MJUA.

Kwangu mimi naona tunapoelekea ni pabaya zaidi.
 
Back
Top Bottom