Hivi lini na mimi nitatekwa?

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Nimechoka kufundisha na kuuza Kangala.

Natamani nitekwe. Mshahara ukitoka tar 23 niwe naenda kuukabidhi.

Niwe napikiwa ugali na Samaki. Jumapili pilau kuku.

Mauzo yote ya Kangala niwe nayakabidhi kila siku jioni.

Mtekaji awe ni ni jimama linalofanya kazi baa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…