Hivi logic ya kuajiri mpaka wahasibu wa India, Kenya ni sheria inaruhusu au uhamiaji scams?

Hivi logic ya kuajiri mpaka wahasibu wa India, Kenya ni sheria inaruhusu au uhamiaji scams?

SilvaG

Member
Joined
Jul 23, 2011
Posts
9
Reaction score
0
Kuna makampuni yapo mwekezaji =foreigner, manager =foreigner, mhasibu= foreigner, bankers=foreigner, auditors=foreigner
Hata kama TRA watafanya audit yao kwa kawaida baada ya miaka 3 unategemea huo mlima wa data abaini wizi kweli kama si kupitisha kila kitu???
Kama serikali ingekua makini hasa eneo kama la uhasibu ambapo information zote za kampuni zitakuwa recorded ingeamua lazima awe mtanzania vinginevyo tunacheza tu.
 
kuna makampuni yapo mwekezaji =foreigner, manager =foreigner, mhasibu= foreigner, bankers=foreigner, auditors=foreigner
hata kama tra watafanya audit yao kwa kawaida baada ya miaka 3 unategemea huo mlima wa data abaini wizi kweli kama si kupitisha kila kitu???
Kama serikali ingekua makini hasa eneo kama la uhasibu ambapo information zote za kampuni zitakuwa recorded ingeamua lazima awe mtanzania vinginevyo tunacheza tu.

ni kampuni ipi hiyo?
 
Back
Top Bottom