MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
tunasherekea uhuru wa tanganyika ulipatikana mwaka 1961 watanganyika walipoanza kujitawala wenyewe baada ya mkoloni mwingereza kuondoka na kuiacha tanganyika kwa waafrika wa tanganyikaKwahiyo tunasheherekea Juhudi za Wakoloni na Mateso yao Kwetu kwa iliyokuwa Tanganyika? Nasubiri jibu lako tafadhali Ndugu.
Hiyo kauli yako ni ya kitanzania bara mno, we zetu wa visiwa I wameushikilia uzanzibari wao kindakindaki, kazi iko kwetu, tumeng'ang'ana na huo u tanzania, u tanganyika tumeufukia kwenye kaburi refu,Tunasherehekea uhuru wa Tanzania bara coz kuna Tanzania bara na visiwanj
Tanganyika law society (TLS)Hiyo kauli yako ni ya kitanzania bara mno, we zetu wa visiwa I wameushikilia uzanzibari wao kindakindaki, kazi iko kwetu, tumeng'ang'ana na huo u tanzania, u tanganyika tumeufukia kwenye kaburi refu,
Kwa nini na sisi wabara tusijivune na u tanganyika wetu,
Kwani tutapungukiwa nini tukijitambua kama tanganyika, mbona visiwani wako proud na identity yao ya uzanzibari