Hivi Lulu yuko katika hali gani kwa sasa?

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
10,406
Reaction score
19,892
nimejivika uhusika wa Lulu kwa kesi inayomkabili,nahisi ningekua ni mimi kabla ya hiyo tarehe13 Nov ndugu zangu wangekua wamenizika tayari kwa msongo wa mawazo
ila nampongeza kwa kuwa strong mpaka dakika hii.
 
Hawezi kuwa strong wakati hajui nini majaji wataamua kuhusu maisha yake tarehe 13, kitu ambacho naamini atakua anakesha kwenye maombi kipindi hiki. Kikombe cha huyu binti ni kizito sana jamani. Namuombea alivuke salama jaribu hili tarehe 13.
 
Kama ni kuact Lulu ni actress mzuri sana. Alipotoka Segadance aliamua kuwa karibu na Mungu lakini ilikuwa acting ya muda mfupi.

Aliact kumjali mama Kanumba kama mama yake, miezi sita haikupita alimchamba mama wa watu tena Insta.
 
nimejivika uhusika wa Lulu kwa kesi inayomkabili,nahisi ningekua ni mimi kabla ya hiyo tarehe13 Nov ndugu zangu wangekua wamenizika tayari kwa msongo wa mawazo
ila nampongeza kwa kuwa strong mpaka dakika hii.
Waganga wanadinya! Kwa dhana ya kupeperusha upepo mbaya kwenye hukumu.
Watumishi uchwara wanaifiligisa wamalizapo kufanya bonge moja la maombezi!
Makarani wakware ndio nafasi yao 'kuiperuzi' kwa kisingizio wanampatia nyeti kutoka kwa jaji.

Inapata 'mailegi' ya kutosha na hiyo ndio hali yake kwa sasa.

Akiwafikiria mabwana jela! Yaani hana hamu kabisaaa!
 
Kwa wakati huu ndio humjua mungu kama yupo
kweli wanadamu tuna shangaza sana
utakuta kutwa yupo busy na jina la Mungu
Tunamuombea Heri
Akifungwa sio kwamba Kanumba Atarudi
 
Hawezi kuwa strong wakati hajui nini majaji wataamua kuhusu maisha yake tarehe 13, kitu ambacho naamini atakua anakesha kwenye maombi kipindi hiki. Kikombe cha huyu binti ni kizito sana jamani. Namuombea alivuke salama jaribu hili tarehe 13.
Upo? Nakusalimia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…