Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Kwema kabisa nimewaza namna watu wanaumia acha tu midawa kama yote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna usiku sanaa, vipii kwemaa??
mambo vipi mrembo?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna usiku sanaa, vipii kwemaa??
Kuna hizi za kutumia kadi ya bima ya afya tunajaziwa kama njugu ni hatari sanaUsiende kununua kwenye duka lake... kwani lazima?
Kuna sehemu ya ku-sign kuwa umepokea huduma , vipi huwa una-sign?Kuna hizi za kutumia kadi ya bima ya afya tunajaziwa kama njugu ni hatari sana
Wajeuri, wajivuni na roho katili hawa jamaamiongoni mwa watu wanaougua mara nyingi ni watoa huduma za Afya kwa sababu wana high rate of contact na wagonjwa wanaowahudumia ... So kuumwa wanaumwa tena mara nyingi kuliko wengine
Itakuwa ulitaka kuwapa maelekezo ha ha ha haaWajeuri, wajivuni na roho katili hawa jamaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeeKwema kabisa nimewaza namna watu wanaumia acha tu midawa kama yote
Poaaah tyuuh, vipii weemambo vipi mrembo?
PoleNilikwenda hospital moja na bima yangu wakanipima wakanambia mkojo mchafu.
Nikauliza nini tatizo? wakasema kunywa maji kwa wingi, nikauliza tena nini tatizo? Nikapewa dawa nikaondoka shingo upande. Lakini zile dawa zikawa zinanizidi nguvu wiki mbili nipo ndani tu jua sijaliona. Nikaanza kufanya ganzi mara ganzi ya mkono mara miguu mara kiuno kimeganda nikasema nitakufaa. Nikatoka nje ya nchi nikaenda hospital nchi fulani kupima mkojo wakanambia nina protein nyingi kwenye mkojo. Inabidi nipimwe mkojo masaa 24 kumbe kidney na liver zimefeli. Nikasema wale madaktari wa Tanzania mamaza…ooo
Unaendeleaje mkuu Pole sana.Nilikwenda hospital moja na bima yangu wakanipima wakanambia mkojo mchafu.
Nikauliza nini tatizo? wakasema kunywa maji kwa wingi, nikauliza tena nini tatizo? Nikapewa dawa nikaondoka shingo upande. Lakini zile dawa zikawa zinanizidi nguvu wiki mbili nipo ndani tu jua sijaliona. Nikaanza kufanya ganzi mara ganzi ya mkono mara miguu mara kiuno kimeganda nikasema nitakufaa. Nikatoka nje ya nchi nikaenda hospital nchi fulani kupima mkojo wakanambia nina protein nyingi kwenye mkojo. Inabidi nipimwe mkojo masaa 24 kumbe kidney na liver zimefeli. Nikasema wale madaktari wa Tanzania mamaza…ooo
Nipo vyema sasa hivi mkuuUnaendeleaje mkuu Pole sana.
niko poa kabisa nakukubali sana msambwanda unao ? napenda msambwanda na uno😉Poaaah tyuuh, vipii wee
Ma MD wengi wa miaka hii, wako substandard na wamejaa ego ya kishamba.Hello,
Mimi kama Wadiz a.k.a Baharia
Naumia sana na roho mbaya, majidai na dharau za za baadhi ya Madaktari kwa wagonjwa ni kero tishio, baadhi wanajikuta sana hadi najiuliza hivi hawa wana kinga ya kuumwa na kufa, au wana bima ya uhai wa maisha yao.
Kuna wimbi la kutuandikia madawa lundo ya kutuangamiza, kusudi tu ili wauze ofisi zao ziuze dawa, hawana huruma na hawana hofu ya Mungu.
Jamani ni hatari sana hii dunia na maisha ya sasa, baadhi yao wanaharibu mbususu za Dada, mama, shangazi, wake nyakati za kujifungua wanaongezea njia kubwa makusudi kuharibu tu mbususu kisa wivu tu.
MDs jueni kuna Mungu hukumu ni hapa hapa.
Wadiz