HIVI MADAKTARI WAMEENDA LIKIZO??

HIVI MADAKTARI WAMEENDA LIKIZO??

Bugududu Sududu

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2014
Posts
594
Reaction score
691
Habari zenu wana jukwaa.kama inavyofahamika JF DOCTOR ni moja ya majukwaa ambayo watu wengi wenye matatizo ya kiafya uwasilisha matatizo yao wakitaraji kupata msaada wa ushauri pamoja na maelekezo lakini kwa hivi karibuni hali imekuwa tofauti, watu wamekuwa wakipost matatizo yao bila kupata msaada wowote kutoka kwa wataalamu hao, msaada umekuwa ukitoka kwa wachangiaji wa kawaida tu,tunaomba kufahamishwa ni kweli hao wataalamu wapo kwenye hili jukwaa??
 
Tatizo mnaletaga utani kwenye mambo ya msingi
Sio utani kiongozi ni kweli, anaweza kupost mtu hiyo post inabakia kutazamwa tu bila mchango wowote, wale watakaochangia basi ni kejel na dhihaka tupu
 
Sio utani kiongozi ni kweli, anaweza kupost mtu hiyo post inabakia kutazamwa tu bila mchango wowote, wale watakaochangia basi ni kejel na dhihaka tupu
Sasa hao wanaokejeli sometime ndio wanafanya walio serious wasichangie
 
Habari zenu wana jukwaa.kama inavyofahamika JF DOCTOR ni moja ya majukwaa ambayo watu wengi wenye matatizo ya kiafya uwasilisha matatizo yao wakitaraji kupata msaada wa ushauri pamoja na maelekezo lakini kwa hivi karibuni hali imekuwa tofauti, watu wamekuwa wakipost matatizo yao bila kupata msaada wowote kutoka kwa wataalamu hao, msaada umekuwa ukitoka kwa wachangiaji wa kawaida tu,tunaomba kufahamishwa ni kweli hao wataalamu wapo kwenye hili jukwaa??

Kwani walikutaarifu labda kwamba Hospitali zao zitakuwa zinapatikana humu Jamvini? Umeshawahi hata siku moja kujiuliza tu ni kwanini katika matangazo yote ya Dawa mbalimbali kule mwishoni huwa wanasema tena kwa msisitizo kabisa kwamba kama Ugonjwa au Maumivu yakizidi wahi kamuone Daktari Hospitalini?

Sasa Wewe endelea tu kusubiri Madaktari waje humu kisha uchelewe au uzidiwe Ufe au Ufariki vizuri kisha tukuzike.
 
Kwani walikutaarifu labda kwamba Hospitali zao zitakuwa zinapatikana humu Jamvini? Umeshawahi hata siku moja kujiuliza tu ni kwanini katika matangazo yote ya Dawa mbalimbali kule mwishoni huwa wanasema tena kwa msisitizo kabisa kwamba kama Ugonjwa au Maumivu yakizidi wahi kamuone Daktari Hospitalini?

Sasa Wewe endelea tu kusubiri Madaktari waje humu kisha uchelewe au uzidiwe Ufe au Ufariki vizuri kisha tukuzike.
Jaribu kuekewa hakuna mtu ambaye anafuata matibabu humu JF, nimesema watu wapo humu kuomba ushaur na muongozo tu jinsi ya kufikia hayo matibabu
 
Back
Top Bottom