Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,296
- 6,492
Wadau habari,
Ukikaa chini ukatafakari na uhalisia wa mambo yanavyoenda unaona kichefuchefu kabisa, na kama una mimba changa unatapika kabisa.
Yaani timu kubwa bongo simba ya yanga ni uharo, haiwezekani timu zinazeeka halafu hazina cha maana cha kujivunia zaidi Simba kuwa na Simba day, wakati yanga wao wanalilia kupewa vifaa na wadhamini.
Mbona mambo haya sioni kule uingereza Man United au Arsenal wakipewa vifaa vya michezo na wadhamini wao?
Jana PSG walikuwa wanauza jezi za Neymar kwa karibu shilingi laki tatu za kitanzania. Na jana tu wameuza jezi karibia laki mbili, sasa wameshindwaje simba kuwa na utaratibu kama huu angalau kuuza jezi shiling laki moja za john Bocco?
Wadau hakuna namna ya kuvi-ban hivi vilabu kweli tupumzike?
Ukikaa chini ukatafakari na uhalisia wa mambo yanavyoenda unaona kichefuchefu kabisa, na kama una mimba changa unatapika kabisa.
Yaani timu kubwa bongo simba ya yanga ni uharo, haiwezekani timu zinazeeka halafu hazina cha maana cha kujivunia zaidi Simba kuwa na Simba day, wakati yanga wao wanalilia kupewa vifaa na wadhamini.
Mbona mambo haya sioni kule uingereza Man United au Arsenal wakipewa vifaa vya michezo na wadhamini wao?
Jana PSG walikuwa wanauza jezi za Neymar kwa karibu shilingi laki tatu za kitanzania. Na jana tu wameuza jezi karibia laki mbili, sasa wameshindwaje simba kuwa na utaratibu kama huu angalau kuuza jezi shiling laki moja za john Bocco?
Wadau hakuna namna ya kuvi-ban hivi vilabu kweli tupumzike?