Emmanuel180
JF-Expert Member
- Dec 17, 2019
- 342
- 626
Binafsi hua nashangaa sana sipingani na kupanda kwa bei ya mafuta lakini hua nashangaa mchakato unavokua
Mara nyingi EWURA ndio hutangaza bei mpya lakini sijawahi kuona wakitangaza bei mchana mpya wanatoaga taarifa USIKU wa manane asubuhi unaamka unaambiwa tu mafuta yamepanda unaenda kununua bia unaambwa 2000 badala ya 1500 kwasababu ni asubuhi una hang over unabaki ume duwaa huna cha kuchangia maana yamepanda toka jana usiku.
Lakini sasa hua inakuaje serikal inatangaza kupanda kwa bei usiku asubuh zishapanda kila mahali je ni kweli hao wafa ya biashara wanakua na hio stock moja ya mafuta iliopanda bei dakika chache hivooo wasiwasi wangu hiii serikal ya sahv inaumiza wananchi wa kawaida na ina wa favour wenye nacho mfanya kwenye biashara shilingi 200 kwenye kila litre ya mafuta ni pesa nyingi sana.
Kinachonishangaza EWURA wanatangaza sasa hivi after 5 mins iring kigoma njombe DSM kote zishapanda why
Inamaanisha wahapata hio stock mpya na wao.
Mara nyingi EWURA ndio hutangaza bei mpya lakini sijawahi kuona wakitangaza bei mchana mpya wanatoaga taarifa USIKU wa manane asubuhi unaamka unaambiwa tu mafuta yamepanda unaenda kununua bia unaambwa 2000 badala ya 1500 kwasababu ni asubuhi una hang over unabaki ume duwaa huna cha kuchangia maana yamepanda toka jana usiku.
Lakini sasa hua inakuaje serikal inatangaza kupanda kwa bei usiku asubuh zishapanda kila mahali je ni kweli hao wafa ya biashara wanakua na hio stock moja ya mafuta iliopanda bei dakika chache hivooo wasiwasi wangu hiii serikal ya sahv inaumiza wananchi wa kawaida na ina wa favour wenye nacho mfanya kwenye biashara shilingi 200 kwenye kila litre ya mafuta ni pesa nyingi sana.
Kinachonishangaza EWURA wanatangaza sasa hivi after 5 mins iring kigoma njombe DSM kote zishapanda why
Inamaanisha wahapata hio stock mpya na wao.