Hivi majina ya waliokua mafataki mtaani,mjini,kijijini kwako wataje title zao hapa!

Hivi majina ya waliokua mafataki mtaani,mjini,kijijini kwako wataje title zao hapa!

Ndevu mbili

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2011
Posts
379
Reaction score
41
Habari zenu wana JF.
Hua najiuliza maswali lakini sipati picha.
Hivi ili uwe maarufu wa jambo lolote lazima ufanye jambo au kitu tafauti katika jamii.
So hapa nawaombeni tuyaweke majina yaliokua yakitumiwa kwa hawa wanaume/wanawake kwa ajili ya umaarufu wao.
Kupata mademu/mabwana waliitwaje?
A.k.a zao wakati huo au sasa?
 
Papaa,pedeshee,kamanda,m sure,bob,man,zungu,kicheche
 
unavaa suruali (la-kuchumpa) halafu umenyoa na panki watakukoma
 
Back
Top Bottom