We mlokole gani usiyemjua Mungu wa waislam? Mungu wa waislam ni ALLAH. Huyo msuba ni Mungu wenu hukoNimeota nimekutana na malaika watu,Hilo halikunishutua sana mimi ni mpentecostal safi,Cha ajabu Hawa malaika walisema wanatoka Kwa suba(Mungu wa Islam) ana,na wametumwa Kwa baba yangu?hii inaweza kuwa na maana Gani?Kwa kifupi kabisa mimi sijawahi hata kuwaza kuwa kwenye Imani hiyo,je Hawa malaika ni akina nani?
Yeah, "majibu" yote kuhusu maisha ya mwanadamu na namna ya kumcha Mungu yapo katika Uislamu. Umeongea vizuri kabisa bila kutarajia........neema za Allah hizo kuwapiga 'dafrao' wenye chuki dhidi ya Uislamu. MashAllahIla uislam una undugu na majibu. Chukua tahadhari. Fanya maombi.
Fanya maombi kabla ya kulala, Mwombe Mungu airudie ndoto hiyo Leo na akupe maana yake.Nimeota nimekutana na malaika watu,Hilo halikunishutua sana mimi ni mpentecostal safi,Cha ajabu Hawa malaika walisema wanatoka Kwa suba(Mungu wa Islam) ana,na wametumwa Kwa baba yangu?hii inaweza kuwa na maana Gani?Kwa kifupi kabisa mimi sijawahi hata kuwaza kuwa kwenye Imani hiyo,je Hawa malaika ni akina nani?
Ndoto hazina maana yoyote ni upuuzi tu kama upuuzi mwengineNimeota nimekutana na malaika watu,Hilo halikunishutua sana mimi ni mpentecostal safi,Cha ajabu Hawa malaika walisema wanatoka Kwa suba(Mungu wa Islam) ana,na wametumwa Kwa baba yangu?hii inaweza kuwa na maana Gani?Kwa kifupi kabisa mimi sijawahi hata kuwaza kuwa kwenye Imani hiyo,je Hawa malaika ni akina nani?
Huyu msuba una uhakika sio mungu wa ma rastafari??We mlokole gani usiyemjua Mungu wa waislam? Mungu wa waislam ni ALLAH.
Huyo msuba ni Mungu wenu huko ugalatiani.
Unampotosha mwenzako aabudie sanamu kijana na kufanya shirki kwa Mungu ambayo ndio dhambi kubwa kuliko yeyote ileInaonekana upo katika majaribu makubwa. Kama wewe ni Mlokole, basi yawezekana unapitia changamoto flani za kutetereka kiimani. Hayo majini yanaposema yametumwa na baba yako basi tafuta kujua sana baba yako ni nani. Pia kuna uongo mkubwa sana kutoka kwa hizo roho za majini. Kuna wale wanaofikiri kuna majini mazuri, huo ni uongo kutoka kwa shetani ambaye ndio wanamwita Mungu au ala....Wengi wa dini ya mtume ni pete na kidole katika mambo ya ushirikina. Masheikh wengi ni waaguzi na wanatumia sana uchawi katika mambo yao. Wapo waganga wengi tu eti ni masheikh! Fanya maombi kwa Jina la Yesu, usisikilize uongo wa majini.
Hata wewe hujachelewa maana dini ya kweli ni UislamuKabisa yaani anaachaje sasa kuwafata mabikira 72 wenye miaka 9 na vijito cha pombe, aje fasta kwenye dini ya haki ya kulumbua na kulabuka
Ukiona dini unayoiamini haiamini Juu ya Yesu kuwa mkombozi wa ulimwengu na mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu toka huko haraka na usigeuke nyuma!!Hata wewe hujachelewa maana dini ya kweli ni Uislamu
Kumbe Mungu wao anaitwa suba?Nimeota nimekutana na malaika watu, hilo halikunishutua sana mimi ni mpentecostal safi. Cha ajabu hawa malaika walisema wanatoka kwa suba(Mungu wa Islam) na wametumwa kwa baba yangu?
Hii inaweza kuwa na maana gani? Kwa kifupi kabisa mimi sijawahi hata kuwaza kuwa kwenye Imani hiyo. Je, hawa malaika ni akina nani?
omba sana na ukemee Roho ya umauti inakuzengea...Nimeota nimekutana na malaika watu, hilo halikunishutua sana mimi ni mpentecostal safi. Cha ajabu hawa malaika walisema wanatoka kwa suba(Mungu wa Islam) na wametumwa kwa baba yangu?
Hii inaweza kuwa na maana gani? Kwa kifupi kabisa mimi sijawahi hata kuwaza kuwa kwenye Imani hiyo. Je, hawa malaika ni akina nani?
Sasa haoni kama tungekuwa tunaota vitu ambavyo hatuvijua kabisa ndio ndoto zingekuwa hazina maana?Ndoto hazina maana yoyote ni upuuzi tu kama upuuzi mwengine
Siku nitayozingatia walau kiasi kuhusu ndoto ni siku ambayo;
Nitaota ndoto ambayo itajirudia vile vile zaidi ya mara moja katika vitu ambavyo sijawahi kukutana navyo kwenye maisha yangu ya kawaida
(sio naota zombi wakati naliona kwenye movie, au ndugu yangu ambae kila siku napishana nae kitaa)
Kidogo itamake sense. . .